Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Pole sana aisee kumbe ulianzq ujana na fataki mwenzetu😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂 Kwakweli ile siku huwa siisahau si angetupa hata buku jamani tupande daladala tulifukuzwa kama mbwa 🤣🤣
Hata mimi nimemkubali mwamba. Wanapata wapi ujasiri wa kubeba kipima-joto na wanja. Unakunywa unachoweza kulipa hata likitokea lakutokea kunakuwa hata hakuna tukio.Mnaleta ubishoo mbele ya baharia 🤣🤣🤣,,, huyo muhuni kanifurahisha sana tunahitaji wajuba kama hao wanaume tumepungua sana sikuhizi.
We unajua kabisa ukiitwa mtoko lengo ni kuchanyatwa unakuja na dada yako kujiwekea uzio halafu bado kushikwa mbunye na nido hutaki. Hamjui wajibu wenu poteeni harakaaa 🤣🤣🤣🤣
Hata Mimi utaweza kusoma mood yanguNiko makini Sana kwenye kumsoma MTU anayenitoa out mood yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787],na sikosi japo elfu 10.....sipendi aibu ndogondogo
Niko makini Sana kwenye hilo,kwanza naangalia Aina ya kinywaji unachokunywa, speed yako ya unywaji,maongezi yako, comfortability yako, naangalia mazungumzo je tunazungumza lugha moja?hapo naweza kujua game linaendaje...nikiona sikuelewi elewi mie huyo naomba zangu Coca-Cola bariiidiiiiiiHata Mimi utaweza kusoma mood yangu
😂🚶🚶🚶
Teacher leo Ni sikukuu ya mapinduzi mbona alfajiri hivi si upumzike jamani?😁😂🚶🚶🚶
Nina zamu ya usafi hapa nilipopanga nataka nifanye na Giza ili wakiamka wakute kusafikuchafu😏Teacher leo Ni sikukuu ya mapinduzi mbona alfajiri hivi si upumzike jamani?😁
Uko poa lakini cute?Teacher leo Ni sikukuu ya mapinduzi mbona alfajiri hivi si upumzike jamani?😁
🤣🤣🤣🤣🤣Hutaki kelele na mtuNina zamu ya usafi hapa nilipopanga nataka nifanye na Giza ili wakiamka wakute kusafikuchafu😏
😂😂kabisaa🤣🤣🤣🤣🤣Hutaki kelele na mtu
Niko poa mwaya,wacha tuendelee na sikukuu japo mivichwa imeshazoea kuamka mapema usingizi unakataUko poa lakini cute?
😂😂😂umeona.Na ndiyo sababuNiko poa mwaya,wacha tuendelee na sikukuu japo mivichwa imeshazoea kuamka mapema usingizi unakata
Kazi Sana😔😔😂😂😂umeona.Na ndiyo sababu
Umeandika nini hapa sasaMie sijawahi maana siye ndio tulikuwa naitwa viraka inaamanisha tunapiga misosi na kwendra tunakwendra So kuachwa na bolo mezani hakunaga siye tunakilaga fasta.
Yaani unamtext umeshaagiza yes Nini ulisemaje kwani nope muhudumu wa bara anasema ni kweli napiga msosi nasepa .
Sio tupo wachache tupo wawili zaidi na hatuachani nabado nauli tunaomba chuo Bajan nilienjoy nastori siwezi wapa za mapito mnakera humu miji vichaa ya huku utasikia maraya sijui Nini mashenzi tu
Umetoka date na afande Karosto faster kakupeleka JKT muguu mbere muguu nyuma kachechemeo tupa kuree😂😂😂Afu kilichoniuma sana nilikua natembea kwa mawazo ni ile kitimoto yani nimeagiza halafu hata sikuitia machoni.....Mungu atanilipa 🤣🤣🤣🤣