Nshomile wa Muleba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,166
- 5,620
Kuna wakati ndugu(mjomba) yangu alinunua kiwanja maeneo ya Morogoro na akaanza kujenga guest house kwa haraka sana mpaka ikakamilika na wakati huo nimemaliza form 6.
Basi anko akasema kuwa niende nikasaidie kazi hapo guest na atakuwa ananilipa (usimamizi)
Banaaa kumbe ile guest ilijengwa juu ya makaburi ya miaka 1990 huko na watu walishayasahau na wakauza maeneo.
Visa vikaanza
Unakuta uko rum umelala unasikia watu wanacheka, mara sauti inakuambia “Tokeni kwenye nyumba yangu”
Ukiacha msosi unakuta umepotea ghafla, au ukienda toilet usiku taa zinazimika ghafla,
kuna ile moja iliniacha hoi, nikiwa nimekaa receiption nikaiitwa na mlinzi mara moja ili kurudi nakuta mikojo kama lita 10 receiption nzima imetapakaa chini
Kiufupi niliaga kwa mjomba kuwa naenda kujiandaa na chuo na wale wafanyakazi walikimbia ile kazi
Mpaka leo kaiita wachungaji na mashekhe ila pameshindikana nilisikia kapauuza.
——————————————
Nyingine nilipita makaubirini maeneo ya Tabata pale jioni mida ya saa 11
Niliona mwanamke amekaa juu ya makaburi afu alikuwa ananiiita, nilijua pengine ni mfiwa anahitaji msaada,
Nikaiitika wito ile namsogelea akapotea ghafla, sijawahi kukimbia kiasi kile maishani
Kiufupi niliishi kwa shida karibia miezi mi3 hv
Je? ni kisa gani ulishawahi kukutana nacho ulivyopita au wakat unakaa maeneno karibu na makaburi, shusha kisa hapa tusome
Nshomile
Kagera, Tanzania
Basi anko akasema kuwa niende nikasaidie kazi hapo guest na atakuwa ananilipa (usimamizi)
Banaaa kumbe ile guest ilijengwa juu ya makaburi ya miaka 1990 huko na watu walishayasahau na wakauza maeneo.
Visa vikaanza
Unakuta uko rum umelala unasikia watu wanacheka, mara sauti inakuambia “Tokeni kwenye nyumba yangu”
Ukiacha msosi unakuta umepotea ghafla, au ukienda toilet usiku taa zinazimika ghafla,
kuna ile moja iliniacha hoi, nikiwa nimekaa receiption nikaiitwa na mlinzi mara moja ili kurudi nakuta mikojo kama lita 10 receiption nzima imetapakaa chini
Kiufupi niliaga kwa mjomba kuwa naenda kujiandaa na chuo na wale wafanyakazi walikimbia ile kazi
Mpaka leo kaiita wachungaji na mashekhe ila pameshindikana nilisikia kapauuza.
——————————————
Nyingine nilipita makaubirini maeneo ya Tabata pale jioni mida ya saa 11
Niliona mwanamke amekaa juu ya makaburi afu alikuwa ananiiita, nilijua pengine ni mfiwa anahitaji msaada,
Nikaiitika wito ile namsogelea akapotea ghafla, sijawahi kukimbia kiasi kile maishani
Kiufupi niliishi kwa shida karibia miezi mi3 hv
Je? ni kisa gani ulishawahi kukutana nacho ulivyopita au wakat unakaa maeneno karibu na makaburi, shusha kisa hapa tusome
Nshomile
Kagera, Tanzania