Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,857
- 1,538
Jamani kuna watu waongo kweli duniani, utakuta mtu anaumwa halafu anatoka mtu mwengine anakwambia eti Jaribu kuchemsha bunda la mpapai utapona.
Kuna jamaa mmoja nilimkuta akichemsha majani ya nanasi kaambiwa kuwa ni dawa ya kibofu. Na wengine huambiwa kuwa ukichemsha mbao zile za 2×2 za kupaulia nyumba maji yake yana tibu maradhi mbali mbali. Tena haswa kwenye jino ndio kuna balaa kuna mmoja aliambiwa alale na mswaki wa mti hadi asubuhi.
Kuna jamaa mmoja nilimkuta akichemsha majani ya nanasi kaambiwa kuwa ni dawa ya kibofu. Na wengine huambiwa kuwa ukichemsha mbao zile za 2×2 za kupaulia nyumba maji yake yana tibu maradhi mbali mbali. Tena haswa kwenye jino ndio kuna balaa kuna mmoja aliambiwa alale na mswaki wa mti hadi asubuhi.