Unazimikia avatar au mwandikoDah! Kuna tu- ID huwa natuwazia mno. Yaani mimi ni mateka wa hizo IDs.
Ila ndoto bado.
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππππππ inlaw umenishinda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bora hakuota anakunywa uji
π³π³π³ Nani kadukua Id yako Baba Mchungaji Eti?Naruhusiwa kumtaja nilie ota namnyandua ndotoni...??
Maana nilipo taka tu kumkula nikajikuta heshma yote imezama kwenye godoro....
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ Lol.Hadi raha kuotwa. Shukrani sana mkuu
Ohhh....[emoji15][emoji15][emoji15] Nani kadukua Id yako Baba Mchungaji Eti?
Hahahaaa. Lol.Ohhh....
Hivi ndio tatizo la kuacha sim na watoto.
Samahani mama Mchubgaji, ngoja nikawachape hawa watoto wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaota wewe Shadeeya?ππππ Lol.
ππ πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈHujaota wewe Shadeeya?
Bado mnaishi kwa wakwe?My babe Asprin kila nikipata usingizi.
Tuna saveBado mnaishi kwa wakwe?
Leo mkwe kapanga mpike nini?[emoji23][emoji23][emoji23]Tuna save