[emoji39][emoji39][emoji39]Ni jana tu nimemuota mwana JF
Bado nimekununia hujajua tu unavyo jichekesha unazidi niboa.[emoji39][emoji39][emoji39]
Jamani mchumba, Nisamehe mimi jamani!Bado nimekununia hujajua tu unavyo jichekesha unazidi niboa.
Dada mpambaji ππππHadi raha kuotwa. Shukrani sana mkuu
unapenda sana kunitesa.Jamani mchumba, Nisamehe mimi jamani!
Ukininunia nitaishije humu ndani akii, nitaambia nini watu mimi jamani!!
Hivi nikikuuwa nani ataniwowa mimi jamani!!unapenda sana kunitesa.
Utaja niua kwa presha ujue[emoji20]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mwongo, unawaotaje wote hao? Naomba uniambie mimi uliniotea nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada mpambaji ππππ
πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cheeii KD