Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

Ingekuwa ushamba wako ni mbio za mwenge ungekimbizwa kitaifa
 
Endelea mkuu
 
mkuu mimi ukijaa geto lazima uliwe, saikolojia ya mwanamke ni rahis mno kuiteka ukiwa mjanja, kama unabisha 1day nikualike then tuone kama utatoka salama bila kuliwa
Ni rahisi kama anakuelewa ila kama hakuelewi mtaishia kugombana tu.
 
Aisee nimecheka sana mikasa uliopitia kaka.
 
Chai ya moto sana hii!!
 
Nakumbuka pindi nasoma collage nilifanya uzembe sana kuna mademu tulikuwa tunafanya discussion nao walikuwa wawili kutokana na mazingira yalivyokuwa tukawa marafiki marafiki mmoja alikuwa kanizidi miaka miwili ivi mmoja nilimzidi alikiwa ananiita bro tuendelea semister ya kwanza ikaisha tukaanza ya pili ukaribu ukaongezeka zaidi na huyu ambaye alikuwa amenizidi umri maan alikuwa kapanga sio mbali na mm ninapo ishi



Akawa anapika chakula ananiambia usipike leo utakuja kwangu kula naenda kula kumbe mdada anaweka mazingira ya kuliwa kimasihara mwamba atasishuki maana nilikuwa namueshimu kama dada angu


Afu kipindi hicho nilikuwa miezi kama 6 sio vizuri kwenye mahusiano yangu ikafikia muafaka tuka amua kila mtu aendelee ma maisha yake kwa kuwa huyo sister alikiwa mtu wangu wa karibu nilimuambia kinachoendelea yeye ndo akaendeleza ukaribu na mm akawa anakuja ata gheto kwangu kupika na vyombo anaosha siku nyingime hatuendi kudiscussed chuo tuna discuss maghetoni akaanza mitego nikienda kwake mara yupo na kanga moja mara likizo aje kunitembelea maghetoni mm nilikuwa mzembe nashindwa kula mzigo


Mwisho wa siku nikaja nikapata demu pale pale chuo sasa kuna siku nipo na demu wangu kanitumia text niende nikale demu wangu kaniambia niende kwenda nikamkuta kavaa kanga moja tu tu nikagonga msosi nikasepa

Kesho yake demu wangu kaniambia yule dada ako anakupenda ashatuambia anakupenda kimapenzi na baada ya kujua na demu urafiki ukapungua na kaanza kunichukia watu wanakuja kuniambia mbona anakuchukia kisa nimepata demu
 
Ungeutoa ubo* ukiwa umedinda ungemringishia na kuurudishia pahala pake pengine angevutiwa nao umuingie vyumani
 
Mi mmoja nilikuwa nafanya nae kazi aliniomba kiasi cha pesa hivyo alikuja geto lakini cha kushangaza akaja usiku,wakat wa kulala nikaanza makeke akazingua nikaona isiwe shida nikatoa kiasi alichokitaka nikampatia kisha nikamwambia kwao si mbali kama vipi anaweza kuondoka ila akagoma akalala asubuhi tukaelekea wote job, ila baada ya siku 3 mwenyewe akaomba aje mana eti siku ile anaona alinikosea sana, wala sikumjibu kitu lakini alikuja basi nikajilia tu.
 
Binafsi huwa sipendi ku'force kabisa. Akikataa mara ya kwanza namwacha na sitomusumbua tena hata akae na mimi wiki unless aamue kunipa kwa hiari yake. Akiamua kunipa anipe akiamua kutokunipa fresh tu maana kwenye katiba ya mabaharia imeandikwa, 'baharia hatoishi kwa papuchi bali kwa pesa zake'.
 
Hahaha. Ulizembea mzee[emoji23][emoji23]
 
Ubaharia Aukufai
 
Yaan una nyonya mpaka titi lakini game hupatiii aaaah wewe jamaa wewe itakua ulikua unalinyonya vibaya Hadi ye mwenyewe anaumia banaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…