Hiki kitu hakipo, kitu unacho nunua ndio kinachokufikia.2. Ilikuwaje? Hukubadilishiwa?
Ndio inakubali.Ilikubali kwa network zetu za bongo?
Ukishaweka item kwenye cart, wkati unakamilisha malipo utaona total cost, ikiambatanishwa na shipping cost.1. Gharama ni ile ya pale uliolipia naada ha ku checkout au kuna ziada baada ya kufika
umemjibu vyema chiefHiki kitu hakipo, kitu unacho nunua ndio kinachokufikia.
Ndio inakubali.
Ukishaweka item kwenye cart, wkati unakamilisha malipo utaona total cost, ikiambatanishwa na shipping cost.
Karibu : Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Hiki kitu hakipo, kitu unacho nunua ndio kinachokufikia.
Ndio inakubali.
Ukishaweka item kwenye cart, wkati unakamilisha malipo utaona total cost, ikiambatanishwa na shipping cost.
Karibu : Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Utawajibika kulipa kodi kulingana na invoice value itakayo ambatanishwa na mzigo.Na ikifika hakuna malipo za TRA sijui kodi na n.k ambayo apple hayawahusu?