Ulishawahi kushika pesa nyingi mpaka zikakufanya ufanye mambo ya ajabu?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Niliwai muuliza Mzee wangu mmoja kwanini aliweza kuzaa watoto 16 kila mtoto na mama yake? Jibu lilikuwa moja tu, pesa ilikuwa inaongeza! Nikamuuliza kwanini watoto hao hukuwaita pesa, maana walitokana na fedha? Akasema hakufanya hivyo maana nao wangerithi ufezuri wake.

Je, wewe mwanaJF uliwai pata fedha zikakuletea ufedhuri?

Mitandaoni kuna taarifa za vifo vya mabilionea 5 waliokufa baada ya kwenda kufanya utalii pahali ilipozama meli kubwa Ile ya Titanic. Yupo jamaa yangu mmoja anadai hawa hawakwenda kufanya utalii, bali ni watu ambao vimada wao walikuwa miongoni mwa waliokufa kwenye meli ile.

Kwa mantiki hii walikodi hicho kifaa na kwenda nacho majiini kwa madai ya kuwa wanaenda kutalii kumbe walikuwa wanaenda kuangalia kama wataweza 'kukutana' na wenza wao.

Huu ni utalii wa namna gani? Ni lini eneo ilipozamia meli ile palitangazwa kama sehemu ya utalii?

Pesa ni pepo unaweza zishika zikakusogeza ahera.
 
Sijaelewa walienda Kukutana na Wenza wao kuvipi? Kuzagamuana au!?

Kwamba walikuwepo ndani ya chombo hawajatajwa!?

Anyway hii ni ajali kama ajali zingine, unaweza kuwa unaenda zako mikumi ukapinduka na gari,unaogelea zako ukazama, uko mbugani mnyama mkali akakuwahi.

Ni ajali tu. Pia ukiwa na hela unatamani kufanya vitu vyenye excitement kubwa.
 
Story za vijiweni raha sana, meli izame 1912 halafu useme hao waliokufa kwenye nyambizi walienda kutana na vimada wao waliokufa kwenye Titanic!
 
Huyu ndo Kasema Mabilionea wamefuata Vimada waliozama Kwenye Meli ya Titanic... Hatufai kata Jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…