Ulitumia mbinu gani kununua gari kwa bei rahisi mtaani?

Ulitumia mbinu gani kununua gari kwa bei rahisi mtaani?

big tuner

New Member
Joined
Dec 1, 2020
Posts
2
Reaction score
3
Wakuu, wakurungwa hongereni na majukum ya jumanne ya leo, nakuja na mada uliwezaje kununua chombo cha usafiri kwa bei rahisi?

Namanisha fedha kidogo tu ikawezekana kuwa na usafiri nahujajutia mpaka leo.

Katika tafiti zangu binafsi wengine wamesema nenda kwenye yadi za bima utapata, wengine wanasema tumia mafundi wa magari, wanajua mabosi wenye magari hawayatumii na walioshindwa kuyaendesha.

Wengine wamesema subiri mnada kwa taasisi, naaam tupe ushuhuda uokoe mtu fulani hapa huenda kwa kapesa kadogo akamiliki gar kwa kuwa sasa kumiliki gari sio anasa ni kitendea kazi kukuza uchumi wa familia na taifa kwa ujumla.
 
Kua mtu wa watu, juana na raia wa status zote.

Nakumbuka gari yangu ya kwanza kumiliki nilimvua teacher mmoja alikua na njaa sana. Ilikua mark 2 gx 100. Machizi wakanitonya enzi zile motor vehicle imepamba moto, teacher alitemwa vyeti feki na gari ilikua ina deni kama 1.5mil la motor vehicle insurance akauza kwa pupa ili afungue biashara maisha yaende nilimvua kwa laki7.

Baada ya mwezi nikaskia motor vehicle insurance imefutwa. Ilibidi nimpoze tu na 100k teacher yule sitosahau.
 
Kua mtu wa watu, juana na raia wa status zote.

Nakumbuka gari yangu ya kwanza kumiliki nilimvua teacher mmoja alikua na njaa sana. Ilikua mark 2 gx 100. Machizi wakanitonya enzi zile motor vehicle imepamba moto, teacher alitemwa vyeti feki na gari ilikua ina deni kama 1.5mil la motor vehicle insurance akauza kwa pupa ili afungue biashara maisha yaende nilimvua kwa laki7.

Baada ya mwezi nikaskia motor vehicle insurance imefutwa. Ilibidi nimpoze tu na 100k teacher yule sitosahau.
Laki 7 😂😂 seriously??
 
Back
Top Bottom