Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Kama mnavyojua kila mtu hapa kapitia kile kipindi cha balehe wenyewe wanakiita foolish Age ,
Yaani pale kama ni Ke yupo tayari kugombana na wazazi wake kwa sababu tu ya boyfriend wake, na pia Kama ni Me basi huwa wanajikuta ndio mafather house hawaambiliki alafu kwa kunusa mabinti sasa ndio usiseme yupo tayari kupigana kisa demu,
Foolish age ni foolish age tu mara nyingi muhusika anafanya vitu kwa sababu ya hormon imbalance lakini akishakuwa na umri furani anakuwa poa kama siyo yeye,
Je wewe ulipitaje kipindi chako cha foolish Age ?
Binafsi nilikuwa mzee wa kuwala sana kwa wiki naweza nisipumzike ata siku moja ni mimi na papuchi papuchi na mimi tu ila ninachoshukuru sikuwa kiburi kwa wazee nilikuwa nafanya kazi za home fresh nikimaliza ndio nafanya mambo yangu.
Yaani pale kama ni Ke yupo tayari kugombana na wazazi wake kwa sababu tu ya boyfriend wake, na pia Kama ni Me basi huwa wanajikuta ndio mafather house hawaambiliki alafu kwa kunusa mabinti sasa ndio usiseme yupo tayari kupigana kisa demu,
Foolish age ni foolish age tu mara nyingi muhusika anafanya vitu kwa sababu ya hormon imbalance lakini akishakuwa na umri furani anakuwa poa kama siyo yeye,
Je wewe ulipitaje kipindi chako cha foolish Age ?
Binafsi nilikuwa mzee wa kuwala sana kwa wiki naweza nisipumzike ata siku moja ni mimi na papuchi papuchi na mimi tu ila ninachoshukuru sikuwa kiburi kwa wazee nilikuwa nafanya kazi za home fresh nikimaliza ndio nafanya mambo yangu.