Uliwahi kum - "block" au kuwa "blocked" na mtu mtandaoni?

Uliwahi kum - "block" au kuwa "blocked" na mtu mtandaoni?

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,112
Reaction score
2,400
Nimegundua watu wengi maarufu huwa hawapendi kupingwa mawazo yao, hawapendi kukosolewa na sivyo walivyo km wanavyoonekana kwenye media. Wengi wao ni wapenda sifa tu na umaarufu.

Binafsi nimekuwa muhanga wa kuwa blocked mara nyingi na hawa watu sbb ya kukomenti mawazo tofauti na waliyopost kwenye kurasa zao.

Katika hili anayeongoza ni jamaa mmoja wa chadema huwa anaendesha chalenji za kusaidia watu wenye shida mbalimbali, fine ni jambo jema ila huyu njemba ni kati ya watu madikteta wasiopenda mawazo mbadala huku wakijinasibu wachaMungu na kutia huruma wakati wa kuhamasisha michango.

Sahau ukomenti tofauti nayeye au hata ulike comment ya mtu ambayo haikumfurahisha unachezea block. Huyu mshamba mmoja nimemtumia km sample tu ila wako wengi.

Demokrasia ni ngumu sana hata chadema wakiwa madarakani mambo yatakuwa ovyo tu maana charity begins at home.
 
Sasa kwenye jambo jema kama analofanya huyo jamaa ww ukienda kukosoa lazima upigwe block tu. Coz hoja zako zinaweza warudisha nyuma wenye kusudi la kuchangia..!
 
Kama aliyeku block ni Malisa basi ndugu unashida mahali.

Ninapishana naye sana mitazamo ila hajawahi kuniblock.

Ukiandika utopolo au matusi lazima akublock na uzuri wake huwa anaweka reason why ameblock mtu fulani.


Kuwa mstaarabu utaheshimika demokrasia sio matusi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi mmoja maarufu wa CCM niliona ameandika utopolo nikwandikia 'matako hua yanasingiziwa tu maana yenyewe yanatumika Kama spika tu,mchawi tumbo'.

Nikapigwa block,Sasa sijui huyu mwenzetu hua hajambi?
,[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sasa kwenye jambo jema kama analofanya huyo jamaa ww ukienda kukosoa lazima upigwe block tu. Coz hoja zako zinaweza warudisha nyuma wenye kusudi la kuchangia..!
Mkuu wala tukio la kuniblock siyo hilo, ni issue nyingne za kisiasa.
 
Kiongozi mmoja maarufu wa CCM niliona ameandika utopolo nikwandikia 'matako hua yanasingiziwa tu maana yenyewe yanatumika Kama spika tu,mchawi tumbo'.

Nikapigwa block,Sasa sijui huyu mwenzetu hua hajambi?
[emoji38][emoji28][emoji1787]dah!
 
Kama aliyeku block ni Malisa basi ndugu unashida mahali.

Ninapishana naye sana mitazamo ila hajawahi kuniblock.

Ukiandika utopolo au matusi lazima akublock na uzuri wake huwa anaweka reason why ameblock mtu fulani.


Kuwa mstaarabu utaheshimika demokrasia sio matusi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hujamjua vizuri au pengine mnafahamiana, sijui kitu kinaitwa matusi mkuu ila yule mwamba ni much know afu anapenda sana sifa.
 
Mimi niliblockiwa na msemaji mkuu wa serikali.
Huyu jamaa ni sukuma gang na ni CCM kindakindaki kiasi kwamba anashindwaga kujificha.
Kwenye mtandao wa twitter
So alipost upuuzi fulani hivi akim support IGP kipindi cha tukio la hamza.

Mimi nikam attack direct kuwa huyo Hamza ni mwanaCCM n akajenga ofisi ya chama huko mbeya kulipo mgodi wake? Nkaweka video akikabidhi ofisi na picha ya hamza katupia vazi la ccm.
Dah uvumilivu ukamshinda akaniblock.
 
Mimi niliblockiwa na msemaji mkuu wa serikali.
Huyu jamaa ni sukuma gang na ni CCM kindakindaki kiasi kwamba anashindwaga kujificha.
Kwenye mtandao wa twitter
So alipost upuuzi fulani hivi akim support IGP kipindi cha tukio la hamza.

Mimi nikam attack direct kuwa huyo Hamza ni mwanaCCM n akajenga ofisi ya chama huko mbeya kulipo mgodi wake? Nkaweka video akikabidhi ofisi na picha ya hamza katupia vazi la ccm.
Dah uvumilivu ukamshinda akaniblock.
Asante mkuu wewe ndio umejua nlichomaanisha, nlitaka kujua hawa watu hukwama wapi, uliweka facts ila bado akakublock, wengiwao wanapenda kusifiwa tu. Angalau Yericko Nyerere huwa anajitahidi kushindana kwa hoja.
 
KUBLOKIWA ni raha sana.. uwa nachekaga tu nikichezeaga block [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom