Uliwezaje Ku Overcome Depression/Msongo

Usipoteze muda hamna faida utapata ,kunywa sumu tu basi upunguze mateso.
 
Nyakati ngumu huwa hazidumu, ulipopita wakati mgumu stress nayo ikaondoka
 
Uliwezaje Ku Overcome Depression/Msongo wa Mawazo Uliyowahi kupitia?
wana jf Share Story Yako na Uhakika inaweza Kumsadia Mtu
Usipende kuwa peke yako jichanganye na watu ambao wapo na wewe utakao waona wanaweza kupokea hali uliyo nayo.
Utashinda haraka
 
Chunguza matendo yako,kama una kisasi na mtu msamehe,pata muda wa kulala piya kula chakula cha kutosha usisahau maji. Mtangulize na Muumba wako.
 
Msongo Wa mawazo au depression ni Ugonjwa kama magonjwa mengineyo kama maralia, UTI nk.

Inahitajika kuonana na madaktari na wapo mahospitalini wanatoa tiba ya kisaikolojia na madawa.

Tiba nyingine inapatikana kwenye majumba ya Ibada Onana na Masheikh au wachungaji watakusaidia. Kukuponya na kukutibu.
 
Uliwezaje Ku Overcome Depression/Msongo wa Mawazo Uliyowahi kupitia?
wana jf Share Story Yako na Uhakika inaweza Kumsadia Mtu
Kama unasumbuliwa na depression/msongo wa mawazo pole sana, ila usijali haupo peke yako asilimia 90 ya users wa jamii forum wanasumbuliwa pia na moja ya magonjwa ya akili na personality dissorder wanakuja humu kukimbia uhalisia wa maisha yao waki log in ni watu wengine kabisa na walivyo ,cha kufanya fungua account nyingine kisha tengeneza personality mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…