Uliwezaje kuacha pombe au kilevi chochote ?

Uliwezaje kuacha pombe au kilevi chochote ?

P h a r a o h

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
785
Reaction score
1,413
Kuna mwamba yeye alikua anakunywa pombe anavuta na sigara.

Kulingana na yeye sigara ina stim sana ukiikosa unaweza ukaenda kuitafuta hata usiku wa manane,

Sasa siku moja ilikua ni usiku sana alafu mvua inanyesha na hana sigara ilibidi aende kutafuta duka lililo wazi akakosa duka lililo wazi mida hiyo kuna duka moja muuzaji analala hapo ikabidi amgongee aamke ili amuuzie japo sigara akafanikiwa kuipata kumbuka mda huo kuna mvua

Akarudi geto ili sasa akaivute vizuri, amefika geto akakuta sigara imeloana maji haifai,
akaanza kujifikiria jinsi sigara inavyompelekesha akaikanyaga akaitupa akaapa havuti tena na kuanzia hapo akawa ameacha kuvuta,

Kuhusu pombe hiyo siku alipoteza kiasi fulani cha pesa baada ya kulewa ambacho alitakiwa awalipe watu day yao ya kazi hapo nda akamua kuacha na pombe pia

Process ya kuacha aliamua kwanza kua mtu wa swala tano kwaiyo kampani zake za mwanzo zikaanza kumtenga kidogokidogo hapo nae lengo ndo hilo kujitenga na kampani ya ulevi ili asijikute anarudi.

Watu wengi wanataka kuacha ulevi au life style fulani kamari na addiction nyingine ila wanashindwa, ila wakipata storinhalisi kutoka kwa watu waliofanikiwa nao wanaweza kupata kitu,

Je, uliwezaje kuacha kilevi chochote au life style ambayo ilikua haina manufaa kwako ?
 
Mentality tu hakuna kingine,,,, sijawahi kuvuta in my life,,, pombe ni kama nimeacha tu, nakunywaga mara chache mno tena kwenye matukio mfano sherehe nk ! Kukaa miez bila kunywa ni kawaida na niko kawaida tu ! Unatakiwa uwe na control na mwil wako,,,,
 
Nilikuwa nakunywa pombe kiasi cha mambo mengi yakawa hayaendi,lakini sikukoma.

Sasa mwaka Jana nilitoka nikaenda benki fulani nikatoa kiasi fulani cha pesa nilichotumiwa na mtu ili nimkamilishie kazi yake,but baada ya kupiga hesabu nikakuta kuna cha juu kinabaki kikubwa tu nikaona hapa nistue wazee wenzangu,nikawavutia waya mmoja mmoja wakaja,kumbuka cash nzima ipo kwenye begi,

Sijui nini kilitokea nikajikuta lile begi ambalo nimelichunga Kwa muda mrefu silioni niligeuka na kujisearch Sana lakini wapi ,hebu fikiria kutafuta begi la mgongoni kwenye mfuko wa suruali.

Nikiwauliza wazee wenzangu kila mtu anajifanya kalewa ,anachoongea hakieleweki,ndiyo mwanzo wa Mimi kupoteza the most of million of money.

Pombe hapana
 
Kuna mwamba yeye alikua anakunywa pombe anavuta na sigara.

Kulingana na yeye sigara ina stim sana ukiikosa unaweza ukaenda kuitafuta hata usiku wa manane,

Sasa siku moja ilikua ni usiku sana alafu mvua inanyesha na hana sigara ilibidi aende kutafuta duka lililo wazi akakosa duka lililo wazi mida hiyo kuna duka moja muuzaji analala hapo ikabidi amgongee aamke ili amuuzie japo sigara akafanikiwa kuipata kumbuka mda huo kuna mvua

Akarudi geto ili sasa akaivute vizuri, amefika geto akakuta sigara imeloana maji haifai,
akaanza kujifikiria jinsi sigara inavyompelekesha akaikanyaga akaitupa akaapa havuti tena na kuanzia hapo akawa ameacha kuvuta,

Kuhusu pombe hiyo siku alipoteza kiasi fulani cha pesa baada ya kulewa ambacho alitakiwa awalipe watu day yao ya kazi hapo nda akamua kuacha na pombe pia

Process ya kuacha aliamua kwanza kua mtu wa swala tano kwaiyo kampani zake za mwanzo zikaanza kumtenga kidogokidogo hapo nae lengo ndo hilo kujitenga na kampani ya ulevi ili asijikute anarudi.

Watu wengi wanataka kuacha ulevi au life style fulani kamari na addiction nyingine ila wanashindwa, ila wakipata storinhalisi kutoka kwa watu waliofanikiwa nao wanaweza kupata kitu,

Je, uliwezaje kuacha kilevi chochote au life style ambayo ilikua haina manufaa kwako ?
Nililewa nikagongwa na gari,nikakaa hospital miezi3,nikarudia pombe nikaja kufukuzwa kazi,nikakaa nikafiria Faida na hasara ya pombe!Hamna Faida yoyote ni Hasara.Nikaamua ikifika tarehe,01_01_2020,Naacha kilevi na hao marafiki naendelea kuwa nao ili washuhudie kwamba nimeacha si kwa Sababu Sina hela,Sababu hamna Faida na offer natoa .
 
Nilikuwa nakunywa pombe kiasi cha mambo mengi yakawa hayaendi,lakini sikukoma.

Sasa mwaka Jana nilitoka nikaenda benki fulani nikatoa kiasi fulani cha pesa nilichotumiwa na mtu ili nimkamilishie kazi yake,but baada ya kupiga hesabu nikakuta kuna cha juu kinabaki kikubwa tu nikaona hapa nistue wazee wenzangu,nikawavutia waya mmoja mmoja wakaja,kumbuka cash nzima ipo kwenye begi,

Sijui nini kilitokea nikajikuta lile begi ambalo nimelichunga Kwa muda mrefu silioni niligeuka na kujisearch Sana lakini wapi ,hebu fikiria kutafuta begi la mgongoni kwenye mfuko wa suruali.

Nikiwauliza wazee wenzangu kila mtu anajifanya kalewa ,anachoongea hakieleweki,ndiyo mwanzo wa Mimi kupoteza the most of million of money.

Pombe hapana
Pole mkuu!
 
Nilikuwa nakunywa pombe kiasi cha mambo mengi yakawa hayaendi,lakini sikukoma.

Sasa mwaka Jana nilitoka nikaenda benki fulani nikatoa kiasi fulani cha pesa nilichotumiwa na mtu ili nimkamilishie kazi yake,but baada ya kupiga hesabu nikakuta kuna cha juu kinabaki kikubwa tu nikaona hapa nistue wazee wenzangu,nikawavutia waya mmoja mmoja wakaja,kumbuka cash nzima ipo kwenye begi,

Sijui nini kilitokea nikajikuta lile begi ambalo nimelichunga Kwa muda mrefu silioni niligeuka na kujisearch Sana lakini wapi ,hebu fikiria kutafuta begi la mgongoni kwenye mfuko wa suruali.

Nikiwauliza wazee wenzangu kila mtu anajifanya kalewa ,anachoongea hakieleweki,ndiyo mwanzo wa Mimi kupoteza the most of million of money.

Pombe hapana
Pole mkuu
 
Mentality tu hakuna kingine,,,, sijawahi kuvuta in my life,,, pombe ni kama nimeacha tu, nakunywaga mara chache mno tena kwenye matukio mfano sherehe nk ! Kukaa miez bila kunywa ni kawaida na niko kawaida tu ! Unatakiwa uwe na control na mwil wako,,,,
unajua pombe ni addictive wewe haujafikia kiwango chenyewe ndo maana unaichukulia hivyo ila kwa waliokua addicted ni ngumu zaidi adict hata siku kuvukisha anaona ugumu
 
Kuna jamaa ni dereva yeye anasema chanzo cha kuacha sigara kuna siku alimwomba fegi mwana wa kijiweni lakini akanyimwa na kuambiwa maneno ya dharau sana mbele ya watu.
Kuanzia hiyo siku akaacha.

Mimi binafsi niliamua tu kuacha. Nilipiga hesabu ya pombe nilizokunywa (nimeanzia utotoni) nikaona ni wakati sahihi wa kuwaacha wenzangu waendelee.
 
Back
Top Bottom