Uliwezaje kufungia vyeti kabatini kisha ukajiajiri?

Umejiajiri ktk kitu gani!??..
Hebu tueleze mkuu unaweza fungua wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee nipe dondoo unafanya biashara gani maana mimi kuna biashara mzee sioni return sijui ndio mwanzo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee tuekezee ulipopita nasisi tuje kaa kama hapo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama umeanza biashara kwa pesa ya kuiba trust me hiyo biashara yako haita kuwa endelevu utakumbwa na misukosuko.
Habari hii imekaribiana na ukweli. Mimi saiv nmeshafilisika kwa hela kaa hzo. Nilijitahidi sana kuilinda lkn ilipotea. Kwa sasa napambana niinuke tena kwa fedha halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…