Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Muda mchache uliopita nikiwa nimetulia zangu mahali nikasikia dada mmoja analalamika kuwa dera lake ambalo alilinunua kwa mkopo wiki chache zilizopita limeibwa wakati alipokuwa amelianika. Na zaidi dada huyo alikuwa analalamika kuwa hata mkopo wenyewe hajamaliza kulipa lakini tayari dera limeibwa.
Kwa hiyo kutokana na maumivu hayo nikamsikia akisema kuwa simu yake ikishajaa chaji tu, atampigia mtaalamu, ili mtendee manuva huyo mwizi wa dera lake. Kwa hiyo kwa kuwa mimi sipendi mtu apigwe kasumba kisa tu dera nimeamua kutoa taarifa kwa uma kuwa kama unajijua leo umeanua dera ambalo sio lako iwe kwa makusudi au bahati mbaya, lirudishe kwa mwenyewe kabla simu yake haijajaa chaji.
Ukichelewa simu ikapigwa kwa mtaalamu, my dear sister/brother, umekwisha. Dera litakutoa roho, Usijesema sikukuambia
Kwa hiyo kutokana na maumivu hayo nikamsikia akisema kuwa simu yake ikishajaa chaji tu, atampigia mtaalamu, ili mtendee manuva huyo mwizi wa dera lake. Kwa hiyo kwa kuwa mimi sipendi mtu apigwe kasumba kisa tu dera nimeamua kutoa taarifa kwa uma kuwa kama unajijua leo umeanua dera ambalo sio lako iwe kwa makusudi au bahati mbaya, lirudishe kwa mwenyewe kabla simu yake haijajaa chaji.
Ukichelewa simu ikapigwa kwa mtaalamu, my dear sister/brother, umekwisha. Dera litakutoa roho, Usijesema sikukuambia