Uliyempa Gig mimba mungu anakuonaaaa

Ujasiri unatofautiana sana aise, acha kabisa, hii njemba iliyokatia kitu yake mule anaweza fanya lolote duniani!
Huyo jamaa hana cha kupoteza amepima amekutwa ana kila ugonjwa wa ngono.so kuva kinga ni kujiharibia utamu bila sababu.
 
kuna watu wamezaliwa na roho za kiarabu za kujilipua lipua
mm gigyy hata ninywe bapa ngap peku sipigi mamaee
 
Jamaa mmoja hivi mwenye nyege za nzi. Mtu ka Gigy ni wa kusex naye bila kinga? Huyu jamaa alipitilizwa na nyege na kukubali bora afie kazini tu majuto baadaye.
Labda alimpima kabla hajaamua kwenda naye nyama kwa nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…