Acheni dhana potofu nyie unaweza kumuona Gift ni malaya kwa sababu anajianika nakufwata na camera kila anapoenda ukasahau kuna dada yako, mchumba wako au hata rafiki yako anafanya mambo ya ajabu na makubwa kushinda ata huyo Gift ila anajificha ndo maana unaambiwa kwenye biblia siku ya mwisho kwa wanaoamini mtastaajabishwa kuona watakatifu wanateketea uliokuwa unaowaamini asilimia 100 kipindi cha ugali wao napia kuhusu suala yeye ni malaya naamini kila mtu ana deserve a chance mfano mzuri juzi kati hapa kwa wanaomjua Card B malaya wa kutupwa aliyeshindikana Gift akasome mbona kavalishwa pete na Migos mwenye mabilioni yake ya pesa tena sio ya kubaatisha but ni upends wa kweli tu , unachookiona mavi mwenzako nzi anakiona dhahabu tuache dhana potofu baadhi ya watanzania kwa ku judge mtu maisha yake yote na kumsahau dada yako au mchumba wako ambapo ukikaa kumuangalia kwa jicho la tatu ni zaidi ya Gift ila ajulikani tu
NB ; Baadhi ya watu sio wote na pia haya ni mawazo yangu tu.