Uliyempa Gig mimba mungu anakuonaaaa



Unayo namba ya Gigi nimuulize, nitakurudishia jibu.
 
hakuna kitu kinauma kama kuzaa na malaya, yaani mtaani wote wanakunyooshea kidole mbaya zaidi unafahamu watu 60 walishapiga ila unaonekana ww tu ndo una akili za kindezi kumwagiamo
60 kwa wiki au tangu azaliwe?
 
Ndio sifa ya mwanaume ni mashine , kijana ukimuona kama lezi lezi fulani ila ana mashine ya nguvu, Giggy na ujanja wote hapo katulia .
 
Achen Ujinga Nyie! Unaweza Ukatembea Na Mmoja Tu Na Huyohuyo Mmoja Akakuachia Wadudu(virus) Hivyo Idadi Siyo Tatizo Tatizo Ni Madhara Yatokanayo Na Tendo Hilo. Kwani Ninyi Wote Mmeoa Mabikira? Acha Apate Mtoto Kama Ni Kweli Ingawa Mnamuona Malaya Lkn Hajaharibu Kizazi Chake Injini Iko Vizuri. Na Kuna Wengine Siyo Malaya Lkn Hawajapata Mtoto.
 
Great thinkers bhana. Imekuaje kwani? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Njoo sinza nikuonyeshe Malaya waliozaliwa kama Malaya na hawawezi kuacha kwa vyovyote vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…