We nenda kalale uko...najua hunijui dat y! Bt wanao nijua wananishaur nifight npge computer science
Ukitaka msaada usiwe mkali.
Kwa lama zako hizo Computer Science huwezi , labda Technician yaani fundi mchundo. Kufungua kompyuta na kuisafisha utaweza tu. Lakini kazi za akili kama programming, Network Design sahau. Hesabu F halafu unajiita Hacker???.
Ni mtizamo tu Dogo.
dogo jaribu UCC ya mwanza nazan utapata chance,usikte tamaa kwamajibu ya watu wanaokukatisha tamaa,coz humu JF kuna watu wengne hawana msaada zaid ya kuongea pumba na kuponda
Ntafte nkusandshe kaka ucni chek kwa pepa yngu ya mwsho nnaweza xema ni bahat mbya nlivyo pga f math bt ckuwah pata F tangu nko 4m1..bt thnx kwa ushaur
Na wewe teacher nini? Kama ni teacher msaidie dogo process za teaching.Senetor kasema nenda uticha..