Uliyeumwa na kupona #COVID19 zingatia mambo yafuatayo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Aliyeugua na kupona ana nafasi nzuri zaidi ya kuwaelimisha wengine juu ya dalili za ugonjwa na namna ya kujikinga na kupata nafuu haraka

Kwa mujibu wa tafiti zilizofanyika, kuna uwezekano wa kuambukizwa COVID19 zaidi ya mara moja hivyo taratibu za kawaida za kujikinga ni muhimu

1. Kunawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka au kutumia kitakasa mikono

2. Kuepuka kushikana mikono au kugusana/kukumbatiana na watu

3. Kuepuka mikusanyiko na kutoka nyumbani pale inapokuwa na umuhimu sana huku ukiwa umevaa Barakoa

4. Kuongeza umakini na kuzingatia taratibu unapoenda sehemu za umma kama sehemu za starehe, saluni, benki na matamasha mbalimbali
 
Upvote 0

Basi sawaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…