National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mzuka!
N:B.. Kama upo msomi, wa kishua sana, uzungu mwingi na huamini mambo ya rohoni hatuna haja ya kusumbuana sana mazee.. piga kimya kimya.. pia mie sio muandishi mzuli..
Maeneo ambayo naweza yajibia vizuri kwa ufasaha... kutokana na uzoefu wangu wa zaidi ya miaka mitano..
N:B.. Kama upo msomi, wa kishua sana, uzungu mwingi na huamini mambo ya rohoni hatuna haja ya kusumbuana sana mazee.. piga kimya kimya.. pia mie sio muandishi mzuli..
Maeneo ambayo naweza yajibia vizuri kwa ufasaha... kutokana na uzoefu wangu wa zaidi ya miaka mitano..
- Ulimwengu wa nyota ( na athari zake katika faida na hasara inapo chezewa au inapotunzwa )
- viumbe wa baharini, angani, kwenye majabari, misituni, roho mbaya, pepo wabaya n.k na kwanini wanaishi huko
- athari za ngono ( hatari iliyopo katika kufanya mapenzi ovyo ovyo na faida zake kufanya kwa usahihi )
- chimbuko la uchawi na madaraja yake ( namna wanavyopata nguvu na wanavyopoteza nguvu namna wanavyo taabisha maisha ya watu na hatma zao)
- jicho la tatu
- nguvu iliyomo katika maji, ardhi etc.
- ulimwengu wa ndoto na athari zake na madaraja ya ndoto
- makafara aina mbali mbali na matokeo yake ( kwanini damu ni hatari kuliko yote )
- kusafiri na kuhamishwa
- vifo vya kichawi na nini hutokea mtu anapokufa kichawi