comesucces
Senior Member
- Feb 21, 2017
- 160
- 105
Mapenzi, Mahusiano na UrafikiMaana ya MMU
Wewe ni mbobezi kwenye sekta ipi nikutandike swali hahahaHi
Nimeona vema sana kuanzisha uzi huu baada ya kuona watu wengi wamepoteza shauku la kuishi hii ni kwa sababu ya kushindwa kupata majibu kamili ya kile anachokihitaji hivyo tunaamini humu ndani kuna wataalamu wa kila sekta ikiwemo masuala ya uchumu,siasa,imani,mapenzi,afya,na masuala yanayofanana na hayo hivyo unaweza kuuliza swali au kujibu swali la kile unachokifahamu na inshaallah utabarikiwa!
Mimi kuwa Rais na mkinikosa msitarajie mapyaJe Tanzania inahitaji nini kujikwamua na umaskini
Toa sera zitakazoweza iondoa toka hukoMimi kuwa Rais
Hakuna cha sera nipeni ofisi. Toka Kwa Nyerere mnasikiliza sera mbona hamjikwamui sasaToa sera zitakazoweza iondoa toka huko
Kilele kipiNingependa kujua maana halisi ya kufika KILELENI!!!!
Mi Mjasiriamali uliza nitakusaidia ikiwezekana ikishindikana watajibu wenzangu no body is perfectWewe ni mbobezi kwenye sekta ipi nikutandike swali hahaha
kukojoa mkojo mkubwaNingependa kujua maana halisi ya kufika KILELENI!!!!
Nipe tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali?? Je wajasiriamali wote ni wafanyabiashara au wafanyabiashara wote ni wajasiriamali au yote sawa??Mi Mjasiriamali uliza nitakusaidia ikiwezekana ikishindikana watajibu wenzangu no body is perfect
ni kuwa na uhakika bayana ya mambo yatarajiwayo.Imani ni nini