Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Miss chaga umeniacha njia panda ,mkojo mkubwa niupi ?? Au kwakua bado mimi mtoto.kukojoa mkojo mkubwa
Adam nani alimfundisha kumgegeda Eve..
Alilijuaje tundu kua ni mbele badala ya nyuma?
Ni kweli utamu wa kugegeda umebaki asilimia 2%.
Kwanini Asilimia ziwe mia tu na nn maana ya Asilimia?
-Mond-
Nipe tofauti kati ya mfanyabiashara na mjasiriamali?? Je wajasiriamali wote ni wafanyabiashara au wafanyabiashara wote ni wajasiriamali au yote sawa??
Nani anayefanya mauaji huko mkoani Pwani wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga?
48÷2(9+3)=
Ningependa kufahamu maana ya kutakatisha fedha
Naomba kuuliza "Je kupenda ni Hatia???"
kwenye kampuni OFFICIAL ya simu mfano simu ya samsung ni mtaa msimbazi mkabala na azam stendi ya zamani ya mbagara jengo linaangaliana na stand ya mabasi ya mwendokasi ya gerezaniVifaa original na spea za simu kwa dar vinapatikana maduka gani?
Why women wanapenda wanaume makauzu?
Naomba kuuliza "Je kupenda ni Hatia???"
Ukipenda kisicho kupenda ni hatia na ni kosa la jinai na utaambulia hukumu.Naomba kuuliza "Je kupenda ni Hatia???"
Vifaa original na spea za simu kwa dar vinapatikana maduka gani?
AiseeMaana yake ni Mruma na Osoro.
Nimedu na mtu wangu akasema it was very nice halafu akasinzia,je, nilimfikisha?
Hili swali lako linahitaji upembuzi na uchunguzi wa kina, in fact hongera sana kwa kuwawazia waTanzania wenzako.Nani anayefanya mauaji huko mkoani Pwani wilaya za Rufiji, Kibiti na Mkuranga?
Ni wachache walio/wanao fika KILELENI...Ningependa kujua maana halisi ya kufika KILELENI!!!!
Mzee huo ni ufisadi, siyo kutakatisha fedha.Ni kitendo cha kuchukua kiasi kikubwa cha pesa za umma kwa maslahi binafsi.
Kutakatisha fedha ni kuchukua pesa ambayo chanzo chake ni kichafu kisha kuipitishia katika chanzo halali.Ningependa kufahamu maana ya kutakatisha fedha
SawaIbada.