Uliza uelekezwe sehemu unayotaka kwenda

Fohadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
772
Reaction score
2,421
Huu ni uzi maalumu kwajili ya kupeana directions mbalimbali za sehemu tunapoenda ili kuepusha usumbufu unaoweza kuepukika au kupelekea mgeni kupotea kabisa.

Naamini JF ina members kutoka pande zote za Tanzania hivyo itakuwa rahisi kupewa ramani na kufika sehemu husika kwa usalama na uhakika zaidi. KARIBUNI.

Nipo Mwanza maeneo ya nyegezi mda huu, ninataka kwenda sehemu moja inaitwa NYANGUGE. kwa wanaokifahamu hicho kijiji, naomba mnielekeze kiko wapi au nipande gari zipi?​
 
Me nataka niende mbinguni nipo hapa sayari ya tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…