Ni miradi ya vigogo wa ccm hiyo...wanagawana hela ya uchaguzi kiaina...uliza baadaye wamelipwa shiing ngapi hao askari, utacheka!
Lakini kwa vile mwisho wao ni leo, acha wamalizie kujikaanga,watazitapika senti hizo!
ULTIMATE SECURITY ni kampuni ya muasia Tanil Somaiya, yule anayetajwa kwenye ufisadi wa RADA, uagizaji wa magari ya Jeshi n.k. Kampuni yake nyingine ni Shivacom. Labda amepewa tenda ya kulinda usalama wa kura zenu.