Ultra- Sound kwa wanawake

PRESIDA TO BE..

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2012
Posts
302
Reaction score
200
Habari ndugu zangu wa jamiiforum
Naomba mnisaidie nikiamini ndio moja ya msingi wa kundi au.jamii hiii...

HIV BEI YA KUPIFANYA VIPIMO VYA ULTRASOUND KWA MAMA WA JAWAZITO NI KIASI GANI?

If you wll not bother pls replay me in the nice way!
 
Bei hutegemea na hospitali na aina ya uchunguzi daktari anaotaka kufanya . Kama xray ya kifua na mguu hutofautiana. Inaweza kuanzia 30,000 hadi laki na ushee depending on the above.
 
Bei hutegemea na hospitali na aina ya uchunguzi daktari anaotaka kufanya . Kama xray ya kifua na mguu hutofautiana. Inaweza kuanzia 30,000 hadi laki na ushee depending on the above.

Mkuu hiyo ni kwa hospital ya private au serikali??
 
Kwa wajawazito kipimo cha utra sound kwa hospital za serikali ni 10,000 na hospital binafsi 15000 hadi elfu 30000
 
Pengine ingependeza labda ungesema kwanini unataka kufanya ultra sound pengine inaweza isisaidia tatizo lako
 
Naomba samahani kwa uelewa wangu mama anapokuwa mjamzto hupatiwa huduma bure kulingana na sera na taratibu za nchi sijajua kwa hosp. Za binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…