Ultrasound inaweza danganya kuhusu wiki za mimba?

Ultrasound inaweza danganya kuhusu wiki za mimba?

Nimemsindika mjamzito hosp 3 tofauti, kila anavyopima utrasound anatajiwa week tofauti. Kote majibu hayafanani.
Mimi hiki kipimo kwenye makadirio ya ujauzito sikiamini kabisa, kinaweza gombanisha wanandoa.
 
Nimemsindika mjamzito hosp 3 tofauti, kila anavyopima utrasound anatajiwa week tofauti. Kote majibu hayafanani.
Mimi hiki kipimo kwenye makadirio ya ujauzito sikiamini kabisa, kinaweza gombanisha wanandoa.
Hata wakikupa majibu tofauti unakuta ni siku moja au mbili tu unakua haiko mbali na ukweli
 
Hata wakikupa majibu tofauti unakuta ni siku moja au mbili tu unakua haiko mbali na ukweli
Sisi tofauti zilikuwa ni wiki 1 hadi 3 mkuu. Feature nyingine zote wanafanaa maelezo ila linapokuja suala la siku, kila mmoja anatutajia wiki zake.
 
Sisi tofauti zilikuwa ni wiki 1 hadi 3 mkuu. Feature nyingine zote wanafanaa maelezo ila linapokuja suala la siku, kila mmoja anatutajia wiki zake.
Ingia google tafuta due date calculator kisha ingiza tarehe zake alizoona siku kwa mara ya mwisho na detail zingine watakazouliza utapata majibu yuko wiki ya ngapi na tarehe ya matarajio ya kujifungua ni lini. Then kutoka hapo unaweza kulinganisha na majibu ya hizo ultra sound uone kama kuna inayomatch.
 
Nimemsindika mjamzito hosp 3 tofauti, kila anavyopima utrasound anatajiwa week tofauti. Kote majibu hayafanani.
Mimi hiki kipimo kwenye makadirio ya ujauzito sikiamini kabisa, kinaweza gombanisha wanandoa.
Ingia play store download Pregnacy app inaitwa AMILA
 
Ultra Sound huwa inakaribiana na ukweli katika wiki za mwanzo za mimba,lakini wiki za 30 na kuendelea huwa kuna utofauti wa kadiri hadi wiki 2.

Pia usomaji wa ultra sound hutegemea na msomaji.

By the way yote kwa yeto vipimo ni makadirio tu...ukweli unaujua wewe na mke au mme wako.
 
Kuna mmoja alikua na wiki saba ikaandika wiki tank na Sikh tano so tofauti km wiki hivi. Km anaenda mkoani msafirisha na wiki 35
 
Wenyewe wanasema majibu yake ni operator dependant! Kila msomaji anasoma anachokijua!

Lakini pia kama ilivyo kwa vipimo vingine,errors hazikosekani..inawezakuwa kuwa instrumental error, technical errors, etc.

Pia mimba inapofikia umri wa miezi sita na kuendelea,accuracy ya umri wa mimba inapungua..wenyewe wanasema,ktk kipindi hiki ultrasound inatusaidia zaidi kwenye fetal wellbeing kuliko umri wa mimba..

So pamoja na kwamba ultrasound inatusaidia sana kama kipimo salama wakati wa ujauzito..lakini kiukweli jibu la swali lako linabaki kuwa: ni kweli ultrasound inaweza kudandanganya tena sana!!!
 
Unahisi mimba sio yako nn,na mungu alivyo mkubwa hizo hosp 3 zinakuja na majibu tofauti tofauti,hapo ndo unachanganyikiwa zaidi
 
Saingine ni mama mwenyewe Kama atakuwa hana uhakika na tarehe Yake ya last MP
 
Masaada toka kwa madaktari wenye utaalam wa hii technologia na wenye ushuhuda - hivi ultrasound inaweza kuongeza au kupunguza wiki za mimba?
Yah... Kam mtu c mbobez mana technology yoyote relies in zeros n ones since al are very computerized!
 
Mkuu inategemea na hospitali mie moja waliniambia tarehe 30 nyingine tarehe 7 alafu nikajifungua tarehe 12... Mwezi huohuo

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom