Ultrasounds machines

Gajungi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2011
Posts
257
Reaction score
83
Habari zenu wandugu,,

Naomba kwa anayefahamu kodi inayotoza TRA kuingiza hizi machine anijulishe. Kama kuna mtu yupo kwenye hii bussiness tafadhali tuwasiliane.Asante.
 
Mie pia ni mhitaji wa hiyo kitu.
Niko kando hapa nasubiria miongozo
 
Kwa ufahamu mdogo nilionao kuhusu vifaa vyote vya Tiba, Mashine mbalimbali za kuchunguza Magonjwa(Zikiwemo Ultra sonography Machine), vifaa vya Elimu na Vitabu huwa havilipiwi ushuru vinapoingizwa hapa Tanzania.
Sio expert kwenye mambo hayo na wala sina Much details ila nina hiyo hints ndogo hivyo unaweza ukatafuta zaidi kujua.
 

Asante mkuu, nimeangalia bei za hizi machine hapo Tanzania zinafanana na zile za online.
 
Asante mkuu, nimeangalia bei za hizi machine hapo Tanzania zinafanana na zile za online.


Kuna mtu kashaniambia kuwa hazilipiwi kodi, ukiagiza utalipa custom processing fee 0.6% na railway development levy 1.5% ya customs value za shipment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…