Umaarufu bila skendo

YoungAge.org

Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
46
Reaction score
12
Naona vijana wengi wastaa wa bongo wanaandamwa na kashfa na maskendo kila kukicha. Wengine uzinzi, wengine utapeli na wengine walifikia kuchomana visu. Nini kinapelekea hali hiyo? Kwani haiwezekani kuwa staa bila kuwa na skendo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…