Dogo chibu anajua sasa proma aisee
Unaambiwa hivi sasa media za south habari ya mijuni ni Diamond tu anapigia promo nana na kuitangaza ngoma yao mpya na domald wa sauzi
Haijalishi...lakini daaaa.....kwakweli ina sikitisha sana tena sana....kumbukeni kuna siku atakuja kutaka kugombea hata ubunge tu sijui siku hiyo atapotangaza nia itakuwaje...