nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Unapokuwa na cheo kama cha mkuu wa mkoa jaribu kujiheshimu hata kama una moyo mweusi na umezaliwa na chuki moyoni mwako
unapochanganya mambo ya wasafi vs ali kiba kumu attack mtu ambaye hana madhara kwa mtu ni kuidhalilisha nafasi yako na kumdhalilisha aliyekuchagua ingawa inaonekana keshazoea vituko vyako,cha muhimu jiheshimu tu ndugu yangu
Watu kama kina pierre ni upepo huwa unapita tu,hivi hujui watu mnaowatawala wana Stress sana?hamtaki hata wacheke jamani?
Umemsimamnga baba wa watu hadi machozi yakamlenga,wewe mwenyewe watu unaowalea ukijiita mlezi wao watu wana evidence zao za mambo ya ajabu including Gay stuffs ,drugs ,wale ndiyo wa hovyohovyo siyo pierre
Nakukumbusha Githeri man wa kenya na hot felon Jeremy wa marekani huyu umaarufu wake ni wadada kushangilia mug shot yake aliyopigwa polisi baada ya kufanya uhalifu wakamsifia ni handsome hadi kina Taraj henson na mastaa kibao wa kike jamaa katoka jela akapata deal ya umodel na kamzalisha mtoto wa tajiri,sembuse pierre jamani??????
Punguzeni vinyongo jamani,mkiambiwa nchi hii ni ya tatu kwa wasio na furaha mnabisha.umewakusanya kina shilole kumu attack mtu kama konki liquid kweli,mkalitanguliza le mtumboz siku mbili kbala kuandika post ya kumkandia na wewe ukarudia maneno yaleyale
Vumilieni ndani ya miezi mitatu tutakuwa tushamsahau huyo pierre tubaki kusikiliza tararira zenu za kulia makanisani kujifanya wema kumbe...............................?/??$%^$%?6$%^?
unapochanganya mambo ya wasafi vs ali kiba kumu attack mtu ambaye hana madhara kwa mtu ni kuidhalilisha nafasi yako na kumdhalilisha aliyekuchagua ingawa inaonekana keshazoea vituko vyako,cha muhimu jiheshimu tu ndugu yangu
Watu kama kina pierre ni upepo huwa unapita tu,hivi hujui watu mnaowatawala wana Stress sana?hamtaki hata wacheke jamani?
Umemsimamnga baba wa watu hadi machozi yakamlenga,wewe mwenyewe watu unaowalea ukijiita mlezi wao watu wana evidence zao za mambo ya ajabu including Gay stuffs ,drugs ,wale ndiyo wa hovyohovyo siyo pierre
Nakukumbusha Githeri man wa kenya na hot felon Jeremy wa marekani huyu umaarufu wake ni wadada kushangilia mug shot yake aliyopigwa polisi baada ya kufanya uhalifu wakamsifia ni handsome hadi kina Taraj henson na mastaa kibao wa kike jamaa katoka jela akapata deal ya umodel na kamzalisha mtoto wa tajiri,sembuse pierre jamani??????
Punguzeni vinyongo jamani,mkiambiwa nchi hii ni ya tatu kwa wasio na furaha mnabisha.umewakusanya kina shilole kumu attack mtu kama konki liquid kweli,mkalitanguliza le mtumboz siku mbili kbala kuandika post ya kumkandia na wewe ukarudia maneno yaleyale
Vumilieni ndani ya miezi mitatu tutakuwa tushamsahau huyo pierre tubaki kusikiliza tararira zenu za kulia makanisani kujifanya wema kumbe...............................?/??$%^$%?6$%^?