Umaarufu wa Kanumba unanitia shaka !


pokea LIKE ya nguvu mdau,unajua watu wanamlaumu tu kanumba bila kufikiria upande wa huyu dogo.mtoto kaanza mambo ya kikubwa mapema anategemea kina kanumba wangemwacha?mtoto ana maskendo kibao kuna kipindi inasemekana alikuwa attacked na mama mmoja akajeruhiwa na viwembe kisa anatembea na mume wa huyo mama.sijui mnafikiria nn,alaumu wazazi wake na lulu mwenyewe kwa kukimbilia mambo ya kikubwa kabla ya umri wake.
 
huyu mtoto alikua mapepe mwenyewe na mwisho yamemkuta makubwa.km angekua anajiheshimu na kuwa serious na msimamo wake hata wanaume km kina kanumba wangemwogopa.tatizo utulivu zero na kupenda makubwa kupita umri wake.sikubaliani na kanumba kutoka na huyu mtt lakini lawama zangu nazielekeza zaidi kwa lulu.RIP the great.
 
Namuunga mkono mtoa hoja....yaliyotokea kati ya marehemu, alyekua mznz, bwana S.K na lulu, liwe ni fundinsho kwa wote mliobak mlio na tabia kama hzo! Waachen watoto wasome na wakue....

Kama kwel pepo ipo then msitegemee kumkuta S.K, atakua upande wa pili akilipa gharama...
 
Nadhani hata wewe unakiherehere kama hivyo vitoto. Ila kwa upande mwingine sheria zetu zipo ila zinatekelezwa kwa baadhi ya watu, na kwa zaidi hao mabinti ni waongo. Leo mimi nikitua na Range Rover spoti halafu nikakatokea kabinti katanidanganya ni above 18 ili kafaidi umaarufu wangu, nadhani ndiyo akina lulu.
 
wazazi wake lulu walikuwa wanajua mtoto wao anabakwa na SK bt u know walikula jiwe coz walikwa wanafaidika na mshiko ambao dogo alikuwa anahongwa na SK. Lakini tuache utani kale katoto kwa umbo lake kanalipa, mwanaume ambae ni mzima lazima angefanya aliyokwa anafanya SK, cheki kifua cha mtoto kilivyobeba maxyz!
 
Kijana, Ya kanumba ndo mnayaona baada ya kufariki... Tukiwa hai tunaoneana aibu. Heri uwe mkimya au sema mabovu ya mtu akiwa hai
 

Ndio maana akaitwa mtoto, kuwa hana uwezo wa kupambanua mambo. Kanumba na wenzie walioingia kwenye mahusiano naye ya kingono, walitake advantage ya utoto wake. Ndio maana kwa mujibu wa sheria kuwa na mahusiano ya kingono na mwanamke aliye chini ya miaka 18 ni ubakaji kwa kuwa sheria inamchukulia mschana wa chini ya umri huo, hawezi kutoa ridhaa ya kushiriki ktk ngono. So hata kama alikubali (kwa kauli au kwa mwenendo) bado kukubali kwake hakutambuliwi kisheria. Hata kama alikuwa mcharuko wao kama watu wazima walitakiwa kujiepusha naye. Hawawezi kukwepa lawama.
 
Biblia inasema, "BWANA (Mungu) si mwenye kumhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe", na, "Msahara wa dhambi ni mauti". Very serious stuff. Najua JF sio kanisani lakini naomba niseme: huwezi kumficha Mungu dhambi zako (YEYE alijua ya akina Lulu na mengine); wala Mungu hajui ya umaarufu wa mtu. Tukishamaliza mizaha yetu hapa duniani tutafuatana na akina Kanumba. Kifo cha Kanumba kilikuwa si msiba wa taifa, bali kilikuwa ni onyo kwa Watanzania wote. Haijalishi mtu ye yote atasemaje, hiyo ndiyo bottom line.
 
Hivi tunapiga kelele tu Kanumba mara SK hivi tunaweza zikwa hata na robo ya umati ule siku yetu ikiwadia yy SK aluukuwa mbunuufu na kina Mtittu Shigongo na wengineo wakamnyanyua wenyewe wahabakuu na faida yy akazoa mashabiki Tz DRC USA Nigeria
Jamani hangaikeni na nyie msifiwe hata km mabaya mpate vuma
 

Mkuu huyu mtoto hayo mapepe unayosema hawa hawa akina kanumba ndiyo wamemuingiza tunaambiwa jamaa alikuwa akitoka nako kakiwa na miaka 14. From that age lazima katakuwa kaliathirika kisaikolojia ndiyo maana tukaona hayo mapepe unayoyasema! Anahitaji ushauri nasaha na atawataja wote waliomharibu
 
Wewe uliyeianzisha hii mada ni lazima utakuwa hauko sawa unauliza umaarufu wa the Great? donge hilo kuona alivyothaminiwa na watu wazito na wa kawaida tulijua kutakuwa tu na watu yamewachoma nawe ni mmoja wapo. unajua kwanini nakwambia hauko sawa coz umekurupuka tu watu tulishapiga kelele kuhusu lulu kuvaa uchi,kuparty mpk ucku wa manane we ulikuwa wapi? leo yametokea ndio unaongea usilolijua kaungane na kina Mdee,then akutajie wanaume wake wote uwashtaki nakutakia kila la kheri.
 
hana jipya myb naye anataka umaarufu kupitia kanumba na anastahili hukumu kwa kukaa kimya kwa miaka5 wkt alijua hili kabla.
 

unamuita mtot wakati anajua kutenga kei yake barabara watu wakapakua! camoon, plz acheni kudiscuss upuuzi, kapteni na kitambi chake kajifaidia mpaka kajenga, huyo bado ni mtoto! completely rubbish! mbona unamtetea sana lulu, ulishapakua nini na wewe?
 
Hata mi nashangaa huyu mtu alikuwa na nini? Mana mi hata kumwona live sijawahi,hata anapoishi nilikuwa cjui mpaka siku anayokufa ndio nagundua kumbe ni mtoto wa sinza,movie zake nadhani ni mbili nilizoangalia coz si mpenz wa bongo movie,bt jamani siku alipotangazwa amefariki roho iliniuma sana,mpaka nikawa nawaza kama namwona,hata cjui huyu kaka alikuwa na kip cha ziada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…