huyu mtoto alikua mapepe mwenyewe na mwisho yamemkuta makubwa.km angekua anajiheshimu na kuwa serious na msimamo wake hata wanaume km kina kanumba wangemwogopa.tatizo utulivu zero na kupenda makubwa kupita umri wake.sikubaliani na kanumba kutoka na huyu mtt lakini lawama zangu nazielekeza zaidi kwa lulu.RIP the great.