Elections 2010 Umaarufu wa Kikwete Mkoa wa Mbeya utatetereka?


Bahati mbaya sifa hizo ni typical kwa asilimia ndogo ya watu kutoka Kyela, mbaya zaidi wengi wa hao huwa viongozi wa kati. Wanapojitokeza wenye sifa tofauti na hizo ni kweli kabisa huonekana maadui. Ndio maana Mwakyembe anakutana na adha kibao. Wapo wengi sana wapenda maendeleo kutoka Kyela, tena wakikusudia kufanya kitu sio wepesi kukata tamaa. Bahati mbaya sana mbegu mbaya hiyo ina nguvu kubwa sana ya ushawishi kwa watu wa kawaida kwani mbinu wanazotumia kutambuliwa katika jamii ni chafu na huenezwa kupitia vibaraka wachafu katika mazingira machafu. Kidogo kidogo Kyela itapata kikosikazi cha maendeleo ya kweli. Kunabadilika sana Kyela sasa hivi. Kuna haja ya wanakyela kizazi kipya kuunganisha nguvu na kuibadili dunia ya Kyela kwa kufagia mawazo ya aina ya Mwakipesile na wenzake.
 
Mkuu vipi aisee.........yaani unamsikitikia JK kupoteza umaarufu!!!..............yaani una matumaini kwamba JK atabadilika na kuleta maisha bora kwa kila mmoja wetu.............duh
Ha ha mkuu!
Hajamaliza zile safari na mi nataka aupate urais ili arekebishe uozo uliotengenezwa na mtandao wake.Give a man enough rope

to hang himself
 
............."ubusisya" ndio unaowamaliza nyie shemeji zangu..............hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…