Umachinga au Ujasiriamali ni hatua ya kutoka katika uchumi mdogo kwenda uchumi wa kati na baadae uchumi wa juu

Machinga wanajitambua kuwa wao ni nani hapo baadae?

Je, Wanauchukia umachinga kwa dhati ya mioyo yao?
Wanajitambua ingawa mazingira sio rafiki kwao kuweza kutoka katika huo mtego uliowatega.

Wanauchukia umachinga kwani unawadhalilisha, kukaa juani siku nzima halafu hauwezi kuuza chochote chenye kueleweka ni shughuli ngumu.

Au kuzunguka juani siku nzima halafu huwezi kuuza chochote ni mateso ya aina fulani.
 

[emoji848]Msimamo wa CCM kuhusu Machinga ni upi hasa? Ilani inasemaje?

Naona hapa unaponda mtazamo na hatua zilizochukuliwa na awamu ya tano kuhusu Machinga. Tuseme CCM inakiri kosa ililofanya awamu ile na kuleta sahihisho awamu ya sita?

Wanasema kweli itakuweka huru. Mnapoipigia chapuo CCM na mwenyekiti wake basi muwe wawazi kweli.

Hii kujifanya nchi ilikuwa na hali mbaya sana kabla ya kiongozi wa sasa ni kutufanya mazuzu tuamini kuwa huko nyuma kulikuwa na utawala wa chama kingine (au hata mashetani) ilhali ni watu wale wale wamebadili msimamo tu kama vinyonga.
 
Wa machinga Wana akili Sana, endeleeni kuleta masihara na kula ya watu.

Hizo theories ni za kilaghai. Nikama kwenye suala la wahitim wengi kukosa ajira anainuka mtu mmoja anasema eti mjiajiri.

He?!!, unajiuliza Kama kujiajiri ni rahisi hivo, si nawao wajiajiri.

Kama mko na nia njema, watengeeni hizo nafasi 2.3ml sehemu zenyΓ© hadhi Kama kariakoo, posts,...dsm. Makoroboi....Dampo...mwanza, unga ltd na viunga Kama hivo Arusha, moshi, mbeya kadhalika.
 
Daah ila mbongo
 
Click to expand...
Viva Samia Viva

Mimi ni chadema ila Samia dam
 
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Hakuna kama Samia
 
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidi
 
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Sawa MUSIBA wa awamu ya mama
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Nchi inaongozwa kwa Katiba, tamaduni na mahitaji ya wakati,
 
machinga wamekubali mapigo
 
Machinga lazima waelewe nia ya Rais hapa ni kuwasaidia wao,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…