Umagufuli ndio tiba ya kudumu ya maradhi ya ufisadi, rushwa na uzembe

Umagufuli ndio tiba ya kudumu ya maradhi ya ufisadi, rushwa na uzembe

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Nikikumbuka zoezi la mchakato wa awali la usaili kwa ajili ya ajira za TRA lilivyochukua muda mrefu nikaamini zoezi hilo lingekuwa na umakini mkubwa lakini sivyo zoezi hilo liligubikwa na uzembe, ufisadi na rushwa.

Katika hali isiyitarajiwa kijana mmoja alijikuta akiongea kwa uchungu na kusema angekuwepo Magufuli haya yasingetokea, waliokuwepo karibu yake wakataka kujua kulikoni?

Kijana akaelezea na kusema, namnukuu"nilikuwa ni moja wa walioomba ajira za TRA lakini nimeenguliwa na sababu sikupeleka Vyeti kuwa certified na mwanasheria. Akamaliza kwa kusema vyeti nimepeleka kuwa certified vyote na ushahidi akaonesha"

Huyo ni moja ya waliokumbwa na hali hiyo ambayo naweza kusema ni uzembe na nyuma yake kuna rushwa na ufisadi. Katika hali ya kawaida zoezi la mchujo wa awali halikutakiwa kugubikwa na kasoro kama hizi ikizingatiwa lilitumia muda.

Yaweza kuwa ninayosema sasa ni historia kwa ajira za TRA lakini ili kudhibiti haki za masikini kuporwa kwa uzembe kwenye michakato mingine ya ajira inabidi wahusika wawajibike.

Sasa hivi utumishi imekuwa chaka la ukandamizaji wa haki za masikini waliosoma kwa tabu na wanapata tabu zaidi kushindwa kuajiriwa si kwa sababu ya kupungukiwa sifa ila kupunguziwa sifa.

Nilipokuwa katika kutafakari hayo ghafla ikanijia taswira ya Hayati Magufuli akipambana na uzembe, ufisadi na rushwa na zaidi nakumbuka alipokuwa anasisitiza rushwa ni adui wa haki Leo ndio tunashuhudia utumishi na kwingine, haki za masikini zikiporwa.

Licha ya kutokuwepo Magufuli lakini Umagufuli tuuenzi, hiyo ndio silaha ya wanyonge kupata haki zao.
 
Nikikumbuka zoezi la mchakato wa awali la usaili kwa ajili ya ajira za TRA lilivyochukua muda mrefu nikaamini zoezi hilo lingekuwa na umakini mkubwa lakini sivyo zoezi hilo liligubikwa na uzembe, ufisadi na rushwa.

Katika hali isiyitarajiwa kijana mmoja alijikuta akiongea kwa uchungu na kusema angekuwepo Magufuli haya yasingetokea, waliokuwepo karibu yake wakataka kujua kulikoni?

Kijana akaelezea na kusema, namnukuu"nilikuwa ni moja wa walioomba ajira za TRA lakini nimeenguliwa na sababu sikupeleka Vyeti kuwa certified na mwanasheria. Akamaliza kwa kusema vyeti nimepeleka kuwa certified vyote na ushahidi akaonesha"

Huyo ni moja ya waliokumbwa na hali hiyo ambayo naweza kusema ni uzembe na nyuma yake kuna rushwa na ufisadi. Katika hali ya kawaida zoezi la mchujo wa awali halikutakiwa kugubikwa na kasoro kama hizi ikizingatiwa lilitumia muda.

Yaweza kuwa ninayosema sasa ni historia kwa ajira za TRA lakini ili kudhibiti haki za masikini kuporwa kwa uzembe kwenye michakato mingine ya ajira inabidi wahusika wawajibike.

Sasa hivi utumishi imekuwa chaka la ukandamizaji wa haki za masikini waliosoma kwa tabu na wanapata tabu zaidi kushindwa kuajiriwa si kwa sababu ya kupungukiwa sifa ila kupunguziwa sifa.

Nilipokuwa katika kutafakari hayo ghafla ikanijia taswira ya Hayati Magufuli akipambana na uzembe, ufisadi na rushwa na zaidi nakumbuka alipokuwa anasisitiza rushwa ni adui wa haki Leo ndio tunashuhudia utumishi na kwingine, haki za masikini zikiporwa.

Licha ya kutokuwepo Magufuli lakini Umagufuli tuuenzi, hiyo ndio silaha ya wanyonge kupata haki zao.
Unaonaje ukamfuata huko alipo.kuna maisha pia

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nikikumbuka zoezi la mchakato wa awali la usaili kwa ajili ya ajira za TRA lilivyochukua muda mrefu nikaamini zoezi hilo lingekuwa na umakini mkubwa lakini sivyo zoezi hilo liligubikwa na uzembe, ufisadi na rushwa.

Katika hali isiyitarajiwa kijana mmoja alijikuta akiongea kwa uchungu na kusema angekuwepo Magufuli haya yasingetokea, waliokuwepo karibu yake wakataka kujua kulikoni?

Kijana akaelezea na kusema, namnukuu"nilikuwa ni moja wa walioomba ajira za TRA lakini nimeenguliwa na sababu sikupeleka Vyeti kuwa certified na mwanasheria. Akamaliza kwa kusema vyeti nimepeleka kuwa certified vyote na ushahidi akaonesha"

Huyo ni moja ya waliokumbwa na hali hiyo ambayo naweza kusema ni uzembe na nyuma yake kuna rushwa na ufisadi. Katika hali ya kawaida zoezi la mchujo wa awali halikutakiwa kugubikwa na kasoro kama hizi ikizingatiwa lilitumia muda.

Yaweza kuwa ninayosema sasa ni historia kwa ajira za TRA lakini ili kudhibiti haki za masikini kuporwa kwa uzembe kwenye michakato mingine ya ajira inabidi wahusika wawajibike.

Sasa hivi utumishi imekuwa chaka la ukandamizaji wa haki za masikini waliosoma kwa tabu na wanapata tabu zaidi kushindwa kuajiriwa si kwa sababu ya kupungukiwa sifa ila kupunguziwa sifa.

Nilipokuwa katika kutafakari hayo ghafla ikanijia taswira ya Hayati Magufuli akipambana na uzembe, ufisadi na rushwa na zaidi nakumbuka alipokuwa anasisitiza rushwa ni adui wa haki Leo ndio tunashuhudia utumishi na kwingine, haki za masikini zikiporwa.

Licha ya kutokuwepo Magufuli lakini Umagufuli tuuenzi, hiyo ndio silaha ya wanyonge kupata haki zao.
Yeye ndiyo alikuwa mla rushwa no moja
 
Huyu waziri anayetushikia kibubu chetu nazani ni kwakua hajui kama unaweza kutoboa kuushika usukani ila ila huyu ni zaidi ya magu I terms of very things kwa.
 
Nikikumbuka zoezi la mchakato wa awali la usaili kwa ajili ya ajira za TRA lilivyochukua muda mrefu nikaamini zoezi hilo lingekuwa na umakini mkubwa lakini sivyo zoezi hilo liligubikwa na uzembe, ufisadi na rushwa.

Katika hali isiyitarajiwa kijana mmoja alijikuta akiongea kwa uchungu na kusema angekuwepo Magufuli haya yasingetokea, waliokuwepo karibu yake wakataka kujua kulikoni?

Kijana akaelezea na kusema, namnukuu"nilikuwa ni moja wa walioomba ajira za TRA lakini nimeenguliwa na sababu sikupeleka Vyeti kuwa certified na mwanasheria. Akamaliza kwa kusema vyeti nimepeleka kuwa certified vyote na ushahidi akaonesha"

Huyo ni moja ya waliokumbwa na hali hiyo ambayo naweza kusema ni uzembe na nyuma yake kuna rushwa na ufisadi. Katika hali ya kawaida zoezi la mchujo wa awali halikutakiwa kugubikwa na kasoro kama hizi ikizingatiwa lilitumia muda.

Yaweza kuwa ninayosema sasa ni historia kwa ajira za TRA lakini ili kudhibiti haki za masikini kuporwa kwa uzembe kwenye michakato mingine ya ajira inabidi wahusika wawajibike.

Sasa hivi utumishi imekuwa chaka la ukandamizaji wa haki za masikini waliosoma kwa tabu na wanapata tabu zaidi kushindwa kuajiriwa si kwa sababu ya kupungukiwa sifa ila kupunguziwa sifa.

Nilipokuwa katika kutafakari hayo ghafla ikanijia taswira ya Hayati Magufuli akipambana na uzembe, ufisadi na rushwa na zaidi nakumbuka alipokuwa anasisitiza rushwa ni adui wa haki Leo ndio tunashuhudia utumishi na kwingine, haki za masikini zikiporwa.

Licha ya kutokuwepo Magufuli lakini Umagufuli tuuenzi, hiyo ndio silaha ya wanyonge kupata haki zao.
kweli kabisaaaaaa
 
Kwahiyo mnataka "umagufuli" ili kuzalishwe wakina Makonda na Sabaya wengi au sio
 
Nikikumbuka zoezi la mchakato wa awali la usaili kwa ajili ya ajira za TRA lilivyochukua muda mrefu nikaamini zoezi hilo lingekuwa na umakini mkubwa lakini sivyo zoezi hilo liligubikwa na uzembe, ufisadi na rushwa.

Katika hali isiyitarajiwa kijana mmoja alijikuta akiongea kwa uchungu na kusema angekuwepo Magufuli haya yasingetokea, waliokuwepo karibu yake wakataka kujua kulikoni?

Kijana akaelezea na kusema, namnukuu"nilikuwa ni moja wa walioomba ajira za TRA lakini nimeenguliwa na sababu sikupeleka Vyeti kuwa certified na mwanasheria. Akamaliza kwa kusema vyeti nimepeleka kuwa certified vyote na ushahidi akaonesha"

Huyo ni moja ya waliokumbwa na hali hiyo ambayo naweza kusema ni uzembe na nyuma yake kuna rushwa na ufisadi. Katika hali ya kawaida zoezi la mchujo wa awali halikutakiwa kugubikwa na kasoro kama hizi ikizingatiwa lilitumia muda.

Yaweza kuwa ninayosema sasa ni historia kwa ajira za TRA lakini ili kudhibiti haki za masikini kuporwa kwa uzembe kwenye michakato mingine ya ajira inabidi wahusika wawajibike.

Sasa hivi utumishi imekuwa chaka la ukandamizaji wa haki za masikini waliosoma kwa tabu na wanapata tabu zaidi kushindwa kuajiriwa si kwa sababu ya kupungukiwa sifa ila kupunguziwa sifa.

Nilipokuwa katika kutafakari hayo ghafla ikanijia taswira ya Hayati Magufuli akipambana na uzembe, ufisadi na rushwa na zaidi nakumbuka alipokuwa anasisitiza rushwa ni adui wa haki Leo ndio tunashuhudia utumishi na kwingine, haki za masikini zikiporwa.

Licha ya kutokuwepo Magufuli lakini Umagufuli tuuenzi, hiyo ndio silaha ya wanyonge kupata haki zao.
Mkuu, katika dunia hii ya sasa, ni lazima uwe na uwezo wa kuteka na kutawala ukitaka mambo yako yakunyookee. Tupo katika ulimwengu ambao unafuata sera za kibepari.

Hata huo umagufuli hauwezi kukusaidia kitu chochote kama wewe mwenyewe huwezi kujiongeza na kuishi kwa kutegemea bahati nasibu. Hicho unachokilalamikia wewe kuhusu jina lako kuenguliwa, ndicho haswa kinaitwa kufanyiwa fitna ama kupigwa zongo. Katika lugha ya kibepari ni kuwa wenzako walifanya "lobbying & advocacy" ili kuhamasisha wafanya maamuzi waweze kuwafikiria wao na wala siyo wewe.
 
Back
Top Bottom