Kobe_mzee
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 445
- 153
Kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 9-11.04.2014 mijadala mbali mbali ilifanyika ukumbi wa Nkrumah Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mijadala yote ilijikita katika kujadili umuhimu wa ukombozi wa fikra katika kuchochea maendeleo na mabadiliko chanya Afrika ikiwemo kuunda Umajumuhi wa Afrika kama walivyojaribu waasisi (Nkrumah, Nyerere, n.k.)
Je, kuna uwezekano wa kuunda umajumuhi wa Afrika katika karne hii ya ukoloni na uliberali mamboleo.
Mijadala yote ilijikita katika kujadili umuhimu wa ukombozi wa fikra katika kuchochea maendeleo na mabadiliko chanya Afrika ikiwemo kuunda Umajumuhi wa Afrika kama walivyojaribu waasisi (Nkrumah, Nyerere, n.k.)
Je, kuna uwezekano wa kuunda umajumuhi wa Afrika katika karne hii ya ukoloni na uliberali mamboleo.