Upo darasa la ngapi?*TAARIFA*
*Kwa wale ambao hamjaoa kuweni makini Sana manake unaweza oa MTU anadaiwa na Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Milion20 utazilipa mpaka ukome.*
*Utaratibu mzuri ni wewe kwenda bodi ujiridhishe anadaiwa shilingi ngapi ili ubargain mahari ipungue*
Unamjua waziri wa elimudarasa la nne
Ficha upumbavu wako we dogo*TAARIFA*
*Kwa wale ambao hamjaoa kuweni makini Sana manake unaweza oa MTU anadaiwa na Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Milion20 utazilipa mpaka ukome.*
*Utaratibu mzuri ni wewe kwenda bodi ujiridhishe anadaiwa shilingi ngapi ili ubargain mahari ipungue*
Yaani wewe hii taarifa yako mbona haina uhusiano,kwani wewe umeoa?*TAARIFA*
*Kwa wale ambao hamjaoa kuweni makini Sana manake unaweza oa MTU anadaiwa na Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Milion20 utazilipa mpaka ukome.*
*Utaratibu mzuri ni wewe kwenda bodi ujiridhishe anadaiwa shilingi ngapi ili ubargain mahari ipungue*