Umasikini + Magonjwa na Afya ya Akili.

Umasikini + Magonjwa na Afya ya Akili.

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Wahubiri wanatumia watu kua mtaji wao, na kumekua na mahubiri ya kuhubiri mafanikio, na Kuna utapeli unaombatana na Dini, wahubiri wanajinufaisha kupitia Fedha za waumini wao.
Jopo kubwa linalolengwa na wahubiri ni wanawake.
Ukitazama Television nyingi wanashuhudia kujibiwa maombi na Kuna kua na watu ambao wao wanasema wamejibiwa.
Sasa Kila siku Kuna Habari za mafanikio kupitia hizi huduma za maombi au Makanisa.
Watu wanapoteza Fedha nyingi na Nguvu nyingi kupitia Imani za Kidini.
Ifike Hatua wajitambue kua Hawa Wana Dini ni wafanya Biashara tu. Kupitia mwamvuli wa Dini
 
Zaman tulfundishwa mifumo ya kiunyonyaji cjuh ukabaila,ubepari nk ila kwasasa mifumo mipya ya kiunyonyaji ni dini na siasa
 
Wahubiri wanatumia watu kua mtaji wao, na kumekua na mahubiri ya kuhubiri mafanikio, na Kuna utapeli unaombatana na Dini, wahubiri wanajinufaisha kupitia Fedha za waumini wao.
Jopo kubwa linalolengwa na wahubiri ni wanawake.
Ukitazama Television nyingi wanashuhudia kujibiwa maombi na Kuna kua na watu ambao wao wanasema wamejibiwa.
Sasa Kila siku Kuna Habari za mafanikio kupitia hizi huduma za maombi au Makanisa.
Watu wanapoteza Fedha nyingi na Nguvu nyingi kupitia Imani za Kidini.
Ifike Hatua wajitambue kua Hawa Wana Dini ni wafanya Biashara tu. Kupitia mwamvuli wa Dini
Watu wa Mungu hawatakiwi kujinufaisha katika kazi zao, ule msemo "kazi ya kanisa" iwe ina maanisha ni kazi ya kujitolea. Fungu la kumi litolewe katika maendelao ya jamii husika.
 
Watu wa Mungu hawatakiwi kujinufaisha katika kazi zao, ule msemo "kazi ya kanisa" iwe ina maanisha ni kazi ya kujitolea. Fungu la kumi litolewe katika maendelao ya jamii husika.
Utajiri upo kwa wahubiri kupitia Sadaka + Zaka na Matokeo ya Michango.
 
Back
Top Bottom