Umasikini na Kutojiweza kukidhi Mitaji

Umasikini na Kutojiweza kukidhi Mitaji

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Sio Kila rafiki, ndugu, mke au majirani wako karibu na wewe kwa sababu ya Upendo sio kweli ni Njaa tu ndo zinazowafanya wawe karibu na wewe.

Siku wakizipata pesa au kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yao, lazima watakua mbali na wewe, haijarishi uliwajari namna gani.

" Mwanadamu atakupenda iwapo utamtimizia mahitaji yake"
 
Back
Top Bottom