BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
masikini ni yule anayejitahidi kutokuonekana masikini.
Hali hii ipo wired kwenye akili za watu katika makuzi. Umezaliwa hivyo na utakuwa hivyo mpaka mwisho wa maisha yako.
Simulizi kutoka AtlantaFX : Series 1 Episode 4 ( The Streisand Effect)
Ernest na Darius wanaenda kwenye duka la mkopo(pawn shop); unaweka bidhaa unapewa hela utakayo lipa kwa riba ili ukomboe bidhaa yako au ubadilishane bidhaa kwa bidhaa.
Ernest ana simu anataka dola 200 zimsaidie kuendesha shughuli. Darius akamwambia kama anataka hela zaidi achukue jambia (katana) atamsaidia kupata hela nyingi.
Ernest akakubali kuchukua jambia.
Darius akampeleka Ernest kwenye ghala lina watu wa asili ya asia. Ghalani Darius akawapa watu wale jambia nao wakampa mbwa aina ya Cane Corso.
Darius akamchukua Ernest wakaondoka wote kuelekea eneo la kijijini.
Kufika pale wakakutana na bwana shamba mmoja, Darius akampa bwana yule mbwa na kugeuza kuanza kurudi alipotoka.
Ernest akaduwaa na kuuliza "hela vipi?"
Darius akasema " Atatupa baada ya miezi 6, yaani atamchukua huyo mbwa ampandishe kwa mbwa wengine, vile vimbwa vitakavyozaliwa vitauzwa kwa dola 2000 kila kimoja na wewe utapata nusu ya mapato yote".
Ernest akajibu, "mimi ni masikini, sina muda wa kuwekeza. Nafanya juu chini ili nisiwe masikini. Ninahitaji hela sasa hivi hata iwe ndogo kiasi gani"
- Akipata 10000 akanywee pombe 7000, elfu 3 anunue vocha na chai kesho yake
- Akipata elfu 5 anunue chakula cha elfu 3, vocha mia 5 na hela ya daladala
Hali hii ipo wired kwenye akili za watu katika makuzi. Umezaliwa hivyo na utakuwa hivyo mpaka mwisho wa maisha yako.
Simulizi kutoka AtlantaFX : Series 1 Episode 4 ( The Streisand Effect)
Ernest na Darius wanaenda kwenye duka la mkopo(pawn shop); unaweka bidhaa unapewa hela utakayo lipa kwa riba ili ukomboe bidhaa yako au ubadilishane bidhaa kwa bidhaa.
Ernest ana simu anataka dola 200 zimsaidie kuendesha shughuli. Darius akamwambia kama anataka hela zaidi achukue jambia (katana) atamsaidia kupata hela nyingi.
Ernest akakubali kuchukua jambia.
Darius akampeleka Ernest kwenye ghala lina watu wa asili ya asia. Ghalani Darius akawapa watu wale jambia nao wakampa mbwa aina ya Cane Corso.
Darius akamchukua Ernest wakaondoka wote kuelekea eneo la kijijini.
Kufika pale wakakutana na bwana shamba mmoja, Darius akampa bwana yule mbwa na kugeuza kuanza kurudi alipotoka.
Ernest akaduwaa na kuuliza "hela vipi?"
Darius akasema " Atatupa baada ya miezi 6, yaani atamchukua huyo mbwa ampandishe kwa mbwa wengine, vile vimbwa vitakavyozaliwa vitauzwa kwa dola 2000 kila kimoja na wewe utapata nusu ya mapato yote".
Ernest akajibu, "mimi ni masikini, sina muda wa kuwekeza. Nafanya juu chini ili nisiwe masikini. Ninahitaji hela sasa hivi hata iwe ndogo kiasi gani"