hitler2006
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 489
- 454
Huku mtaani si ajabu ukakuta mtu anafurahia kabisa mwenzake kukosa dili fulani, au kufukuzwa kazi maarufu kama kutumbuliwa. Utasikia ooh bora tulingane, na hii imepelekea hata hii inayoitwa "mob justice".
Mob justice haiishii tu kwenye kupiga mtu kisa kaitiwa mwizii, inaenda mbali sana hadi kwenye shutuma za huku uswazi kila mwenye mafanikio utasikia aah "fiiiriiimasooni "yule. Kuna character assasination nyingi sana zinafanyika huku mtaani.
Nyuma ya haya yote ni umasikini wa kipato unaopelekea umasikini wa kifikra.
Si ajabu kukuta msomi kabisaa anashadadiaaa mada kama hizo.
Mob justice haiishii tu kwenye kupiga mtu kisa kaitiwa mwizii, inaenda mbali sana hadi kwenye shutuma za huku uswazi kila mwenye mafanikio utasikia aah "fiiiriiimasooni "yule. Kuna character assasination nyingi sana zinafanyika huku mtaani.
Nyuma ya haya yote ni umasikini wa kipato unaopelekea umasikini wa kifikra.
Si ajabu kukuta msomi kabisaa anashadadiaaa mada kama hizo.