Hata ukipigwa ban jf Kuna viumbe wanashangilia. All in all, ukiwa na uwezo, nenda ukaishi sehemu za watu wenye uwezo. Tabu niliyopata nilipofunga dish la DSTV Kimara wakati DSTV ndio inaanza sitakuja kuisahau.
Sikuishia DStv tu, nilifunga full solar na kununua generator kujihakikishia umeme. Kumbuka DStv na solar Ni Kama pembe la ng'ombe, havifichiki.
Maskini wakiwaza nalipa DStv 125,000 taslim hawapati usingizi kabisa. Nilipo Sasa hakuna anayejua Kama Nina DStv au Azam, Kama natumia solar au TANESCO. Kama nimekula kitimoto au sato.