Faiza nimepima kwa ajili ya maandalizi ya safari kama mwezi sasa na namshuru mungu nipo salama!!
Naomba mnisaidie japo ushauri!!
Nipo na girlfriend wangu huu ni mwaka wa tatu sasa tokea nasoma mpka hivi sasa naangaika kutafuta kazi, tatizo ni kwamba huyu mwenzangu nimegundua kuwa yupo na mtu mwengine na nilipomuuliza akajibu kuwa ni kweli lkn hakuna wanachofanya na anafanya yote hayo kwasababu mimi simpi chochote ktk mahitaji yake( si mapenzi) na kama nikimtimizia haoni sababu ya kuwa na hao wengine coz ananipenda( na naamini kweli ananipenda na anaonesha hilo)Sasa mwenzenu nipo kwenye mtihani mwanamke wangu namtaka ila roho nayo yaumia!!Naomben ushauri wenu ushauri wa maamuzi magumu!!!!
Du!Hata km ni kupenda huku kwako kumepitiliza,
Km utaendelea naye jiandae kufa mapema km sio kwa presha basi kwa dipreshen!
Huyo mdada kakudhalilisha sana,hebu amka utoke humo usingizin wanaume hawako ivo bana,
Achana naye bwana mwombe mungu atakupa atakayekuvumilia hata ukiwa km ulivo na kukupenda kwa dhati!
unless una uhakika anao wanaume wengi ndio umuache,kama ni mmoja na anatoa mkwanja tulia hapo hapo