Umaskini mbaya sana, umaskini umefanya watu na Taasisi nyingi kama Simba kufanya maamuzi ya ajabu yanayowagharimu leo

Umaskini mbaya sana, umaskini umefanya watu na Taasisi nyingi kama Simba kufanya maamuzi ya ajabu yanayowagharimu leo

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari wanajukwaa.

In short niseme tu umaskin ni janga kwelikweli unavyoona CCM inaendelea kutawala leo ni kwa sababu ya umasikini tulionao, mimi huwa naamini mtu akiwa na Maisha sio ya kitajiri sana ila maisha flana standard anakua na uelewa automatically bila hata kupewa Elimu...kataa kwa Facts.

Wasanii wengi wameingia mikataba ya Ajab baada ya kupata fursa mwanzon wakaona maisha ndio haya hawakuwaza ya mbelen ila baada ya mda walivyo kuja kuelewa potential yao wakajua kua walipigwa.. mfano Harmonize.

The same kwa some players Samatta alikaa miaka Mingi sana pale Mazembe inasemekana baada ya kupewa zile hela aliona haya ndiyo maisha ila baadae akaja kuwaka sana na akawa akitaka kutoka Mazembe wanaomba Dau kubwa akaaanza kujuta.

Feisal alivyofika Yanga akapewa ule mkataba aliona maisha ndio haya hakuweka hata vipengele vya kua akifanya hiki Basi apokee bonus hizi na mshahara wake uwe unapanda alikuja kushituka alivyokuja kushine akaelewa kua alipigwa.

Taaasis..Ni simba..Hii Team iliteswa kwa kipindi na yanga wakat yupo Manji alivyokuja Mo hawakuwaza about siku za Mbelen itakuaje wakiwaka na wakawa moja ya Team zinazofatiliwa sana Africa...wakampa Mo Team hawakutaka hata kujua B20 zinawekwa wapi?

Cheki ya Benki gani?

Yani wao walijali tu Furaha yao ya siku hizo..

Wakajaziwa Mabango wakampa Cheo Mo cha Rais Wa Heshima ambacho hakieleweki hata ni cha kazi gani.

Leo wame fikia mafanikio wanafatiliwa kila pande za Africa hata wakipuyangawanajulikana hadi Uganda wamekuja kugundua kua kuna makosa mengi waliyumba..wameshituka sasa unasikia mara Mangungu anasema atatoa Pesa za Usajili yeye anajua saiv Mo hana power yoyote.

Wakat kuna Mda Mo alifikia mda akawa anaajiri hadi Kocha kwa hela zake,mara analeta Golikipa kwa pesa yake.

Saiv ndio wanashitukakua usajili ulitakiwa uwe unapitishwa na Bodi nzima ila wakat wana njaa hayo hawakutaka kujali walitaka Furaha tu hata mchezaji aletwe na Jaribu tena hawakujali..

For Sure..UMASKINI NI MZIGO MBAYA KULIKO HATA KUKOSA ELIMU.
 
Pamoja na kwamba hoja yako ya kuhusu umaskini ina mantiki lakini mifano na angle uliyotumia umepotoka. Mtu unasaini mkataba na kukubaliana na vifungu kutokana na nguvu na ushawishi ulionao wakati huo.

Hauwezi kulazimisha vifungu wakati nguvu ya kulazimisha vifungu hivyo hauna. Hivyo ndiyo dunia inavyofanya kazi, hata pale matajiri wanavyokuwa wanaingia mikataba.

Ukiirudia mifano yako uliyotumia utaona pia ulipopotoka.
 
Pamoja na kwamba hoja yako ya kuhusu umaskini ina mantiki lakini mifano na angle uliyotumia umepotoka. Mtu unasaini mkataba na kukubaliana na vifungu kutokana na nguvu na ushawishi ulionao wakati huo. Hauwezi kulazimisha vifungu wakati nguvu ya kulazimisha vifungu hivyo hauna. Hivyo ndiyo dunia inavyofanya kazi, hata pale matajiri wanavyokuwa wanaingia mikataba.

Ukiirudia mifano yako uliyotumia utaona pia ulipopotoka.
Mkuu mkataba wowote hua una Offer and Acceptance..then kuna zile Terms mkataba wowote ili uwe valid lazima kuwe hakuna force yoyote iliyotumika kumfanya mtu aingie.

kwa unavyoelezea wewe unaongelea mikataba Batili ambayo mbele ya Macho ya sheria haina uhalali maana mkiwa mnaingia kwenye Mkataba kila mtu ana haki sawa.

Mmoja ku make offer mwingine ku accept so ukiona terms za mkataba ni mbaya why uingie?

Kama unaingia kwa nguvu basi moja kwa moja huo unakua mkataba batili
 
Mkuu mkataba wowote hua una Offer and Acceptance..then kuna zile Terms mkataba wowote ili uwe valid lazima kuwe hakuna force yoyote iliyotumika kumfanya mtu aingie...
Mbona unaenda nje ya mada. Umetolea mifano ya watu ulioita masikini kina Feisal, Samatta, Harmonize na Simba. Kuna ambaye alilazimishwa asaini mkataba? Nimejaribu kukuelewesha kuwa nguvu ya ushawishi na position uliyonayo wakati husika na zaidi kile unachoona unaweza kukipata mbele kwa mkataba huo huo ndiyo inaamua kama una uwezo wa kubadili au kulazimisha vifungu fulani, haimaanishi kuwa kuna mtu amelazimishwa kusaini.

Hata Diamond ambaye wengi mnamchukulia kioo cha mafanikio kuna watu wanaweza kumfuata kibiashara, akakosa nguvu ya ushawishi kulazimisha vifungu fulani kutokana na uzito wa watu hao na akasaini kutokana na kile anachoona anaweza kwenda kukipata hata bila ya vifungu hivyo ambavyo angetamani viwepo.
 
Mbona unaenda nje ya mada. Umetolea mifano ya watu ulioita masikini kina Feisal, Samatta, Harmonize na Simba. Kuna ambaye alilazimishwa asaini mkataba? Nimejaribu kukuelewesha kuwa nguvu ya ushawishi ...
Usiseme nguvu ya ushawishi huo ni Umaskini kiri tu mkuu, hakuna nguvu ya ushawishi hapo sema tu labda kama unataka tu bishane.
 
Usiseme nguvu ya ushawishi huo ni Umaskini kiri tu mkuu..hakuna nguvu ya ushawishi hapo sema tu labda kama unataka tu bishane.
Nadhani tunashindwa kuelewana tu. Ukiangalia suala hili kwa jinsi dunia inavyofanya kazi utaelewa zaidi. Usimlaumu mtu kwa kusaini mkataba wowote maana kwa wakati anasain mkataba huo ulikuwa unamridhisha, usiite ni umaskini, njaa au ujinga. Ndiyo maana duniani kote baada ya muda wa mkataba kuisha watu wanarudi mezani kuboresha kwa sababu pande zote zinajua thamani ya kile kilichopo mezani haiwezi kuwa ile ile, muhimu ni kutimiza wajibu wako na heshimu mkataba hadi utakapoisha.

Tatizo la Waswahili hatutimizi wajibu wetu kwenye mikataba halafu tukianza kudhani au kuona thamani yetu ni kubwa zaidi ya ile tuliyokuwa tunadhania mwanzo, tunaona upande wa pili ni wahuni tunaanza kuleta uhuni katikati ya mkataba. Maliza mkataba wako kwa heshima halafu rudi mezani kuomba maboresho ya mkataba.
 
Mbona unaenda nje ya mada. Umetolea mifano ya watu ulioita masikini kina Feisal, Samatta, Harmonize na Simba. Kuna ambaye alilazimishwa asaini mkataba? Nimejaribu kukuelewesha kuwa nguvu ya ushawishi na position uliyonayo wakati husika na zaidi kile unachoona unaweza kukipata mbele kwa mkataba huo huo ndiyo inaamua kama una uwezo wa kubadili au kulazimisha vifungu fulani, haimaanishi kuwa kuna mtu amelazimishwa kusaini.

Hata Diamond ambaye wengi mnamchukulia kioo cha mafanikio kuna watu wanaweza kumfuata kibiashara, akakosa nguvu ya ushawishi kulazimisha vifungu fulani kutokana na uzito wa watu hao na akasaini kutokana na kile anachoona anaweza kwenda kukipata hata bila ya vifungu hivyo ambavyo angetamani viwepo.
Kama hajakuelewa basi ni kichwa ngumu!
Hoja yako ipo vizuri sana kwamba
Kila jambo na wakati wake.
Mabadiliko ni sehemu ya maisha bila kujali yanakupa furaha au pengine maumivu yanapotokea yanakuja kubali matoke

Ukiwa na njaa unatamani upate tu chakula, ukisha kipata unawazia mengine.
Huwezi kuwa na njaa ukawaza kusafiri.
 
Pamoja na kwamba hoja yako ya kuhusu umaskini ina mantiki lakini mifano na angle uliyotumia umepotoka. Mtu unasaini mkataba na kukubaliana na vifungu kutokana na nguvu na ushawishi ulionao wakati huo. Hauwezi kulazimisha vifungu wakati nguvu ya kulazimisha vifungu hivyo hauna. Hivyo ndiyo dunia inavyofanya kazi, hata pale matajiri wanavyokuwa wanaingia mikataba.

Ukiirudia mifano yako uliyotumia utaona pia ulipopotoka.
Mifano yake iko sawa kabisa, sio nguvu ya ushawishi ila ni umasikini ndio hufanya hao aliowataja wasijue value yao halisi ila yule anawasajili anajua value yao ila anawahadaa kwa umasikini wao.
 
Unataka kusema umasikini ndiyo uliosababisha Mwekezaji kupewa timu haraka haraka hata kabla ya mchakato wote kukamilika, au!!
Mkuu pata Kahawa jion hii humohumo kabisa.
Jibu ni YEES ndio lililopelekea yote haya saiv wanaanza kujua wlairuka some steps na walikosea.
 
Nadhani tunashindwa kuelewana tu. Ukiangalia suala hili kwa jinsi dunia inavyofanya kazi utaelewa zaidi. Usimlaumu mtu kwa kusaini mkataba wowote maana kwa wakati anasain mkataba huo ulikuwa unamridhisha, usiite ni umaskini, njaa au ujinga. Ndiyo maana duniani kote baada ya muda wa mkataba kuisha watu wanarudi mezani kuboresha kwa sababu pande zote zinajua thamani ya kile kilichopo mezani haiwezi kuwa ile ile, muhimu ni kutimiza wajibu wako na heshimu mkataba hadi utakapoisha.

Tatizo la Waswahili hatutimizi wajibu wetu kwenye mikataba halafu tukianza kudhani au kuona thamani yetu ni kubwa zaidi ya ile tuliyokuwa tunadhania mwanzo, tunaona upande wa pili ni wahuni tunaanza kuleta uhuni katikati ya mkataba. Maliza mkataba wako kwa heshima halafu rudi mezani kuomba maboresho ya mkataba.
Nimekupata Mkuu sa tatizo moja lingine sasa Watanzania hua tupo tayar kuingia hata mikataba ya Miaka mingi sana au hua tunafanya maamuzi mabaya sana mtu jiulize unaweka kipengele cha kubunja mkataba 1B sa mkuu hiki ni kikubwa na ukisema utumikie mkataba wako unakuta ni miaka Mingi sana bado.

Samatta simulaumua sana kafanya kwa nafasi yake kucheza soka ila niwazavyo mimi alistahili kutoka zamana sana kwenda Ulaya.

Kwenye issue yako nimekuelewa mkuu vizur sana ila tukubaliane watanzania wengi hua tunakosa wasimamizi na washauri wa maswala ya kisheria tunavyoingia hua tunaingia kiholela..Mkuu unakuta mtu kaingia Mkataba wa miaka Miki au una mpa Offeror waku renew utatoboa hapo?

The same leo utasikia Rais awe wa milele ila hawa hawajui kesho akija Rais mbovu na akagoma kubadili hicho kipengele watalia na kusaga Meno.
 
Mo kaonyesha mafanikio simba kimpira kuliko mtu yeyote , hiyo mbona ipo wazi kama ya mbuzi mkuu.
Ni kweli hatukatai lakini mafanikio hayakupita kwenye right way matokeo yake ndio haya tunayaona ni sawa na kufauru kwa kuiba paper siku ukibanwa upata zero
 
Ni kweli hatukatai lakini mafanikio hayakupita kwenye right way matokeo yake ndio haya tunayaona ni sawa na kufauru kwa kuiba paper siku ukibanwa upata zero
Kwenda wewe ni uto Pro max🤣
 
tukubaliane watanzania wengi hua tunakosa wasimamizi na washauri wa maswala ya kisheria tunavyoingia hua tunaingia
Hilo ndiyo jambo la msingi. Kama hauna uhakika na vipengele vya mkataba, omba ushauri wa kisheria. Watanzania wengi tunaogopa mikataba. Tukiwekewa mkataba mbele yetu hofu, wasiwasi na unyonge unatuingia tunasahau mkataba wowote una haki na wajibu kwa pande zote mbili.
 
Mimi nadhani mleta mada huna hoja kuhusu Simba na Mo hao uliowataja wote hapo juu walipambania kuvunja mkataba na kujitoa baada ya kutambua thamani yao baada ya muda fulani.

Ni lini uliona wanasimba wakimkataa Mo au kutaka kujitenga na Mo
Mo mpaka sasa hana mkataba wowote na simba bado simba ipo kwenye mchakato wa mabadiliko, ni sisi mashabiki ndio tunamtaka Mo na hatujawahi kujutia uwepo wa Mo hata kama ikiwa ni kwa kuondoka viongozi wengine wote tupo tayari na ndio maana kama ulimsikiliza mwenyekiti wa simba leo utakuwa umemuelewa maana hata yeye alihitaji Mo arudi klabuni

Kuhusu hizo 20Bil hakuna shabiki wa Simba anayewaza kupata hela klabuni na ndio maana utaona kinachowachukiza wanasimba zaidi ni matokeo ya timu yao na wala sio suals la Bil 20 imewekwa wapi. Hiyo hela hata ingekuwa ni Bil 100 imewekwa na hali ya timu ikawa hivi bado kusingekalika shabiki yake ni matokeo tu hela hana faida nayo.
 
Mimi nadhani mleta mada huna hoja kuhusu Simba na Mo hao uliowataja wote hapo juu walipambania kuvunja mkataba na kujitoa baada ya kutambua thamani yao baada ya muda fulani.

Ni lini uliona wanasimba wakimkataa Mo au kutaka kujitenga na Mo
Mo mpaka sasa hana mkataba wowote na simba bado simba ipo kwenye mchakato wa mabadiliko, ni sisi mashabiki ndio tunamtaka Mo na hatujawahi kujutia uwepo wa Mo hata kama ikiwa ni kwa kuondoka viongozi wengine wote tupo tayari na ndio maana kama ulimsikiliza mwenyekiti wa simba leo utakuwa umemuelewa maana hata yeye alihitaji Mo arudi klabuni

Kuhusu hizo 20Bil hakuna shabiki wa Simba anayewaza kupata hela klabuni na ndio maana utaona kinachowachukiza wanasimba zaidi ni matokeo ya timu yao na wala sio suals la Bil 20 imewekwa wapi. Hiyo hela hata ingekuwa ni Bil 100 imewekwa na hali ya timu ikawa hivi bado kusingekalika shabiki yake ni matokeo tu hela hana faida nayo.
Kuna mda nilikua najiuliza kwanini kwa Mitihan ya shule za Msingi na sekondari hua kuna swali la Ufahamu ingali mtu hadi anaingia kwa mtihani sio Chizi anajua anaenda kufanya nini?

Saiv ndio nimepata Jibu kwanini lile swali hua lipo.

yani unasoma soma tu wewe unataka kila kitu kiwepo hapa unataka uone Sijui Nini ili ujue mambo sio!
 
Back
Top Bottom