Wah. salaam, hivi inakuwaje SUMATRA NA TBS walitangaza kazi muda mrefu sana na hadi sasa hawajaita watu kwenye usahili, au ilikuwa chnga la macho watu wao wameshaanza kazi!!!!!!! Tuambizane wajemeni
Wah. salaam, hivi inakuwaje SUMATRA NA TBS walitangaza kazi muda mrefu sana na hadi sasa hawajaita watu kwenye usahili, au ilikuwa chnga la macho watu wao wameshaanza kazi!!!!!!! Tuambizane wajemeni