Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Habarini wanaJF
Nahitaji kujua kipi ndio huonja au hufikwa na umauti kati ya mwili au nafsi? maana ishazoeleka ikitamkwa "kila nafsi itaonja umauti" ili hali mwili ndio hupoteza uwezo wake kiutendaji pale unapofikwa na umauti au kama kauli hiyo ipo sahihi basi ni nini tafsri yake.
Nitashukuru kwa ufumbuzi juu ya hilo
Nahitaji kujua kipi ndio huonja au hufikwa na umauti kati ya mwili au nafsi? maana ishazoeleka ikitamkwa "kila nafsi itaonja umauti" ili hali mwili ndio hupoteza uwezo wake kiutendaji pale unapofikwa na umauti au kama kauli hiyo ipo sahihi basi ni nini tafsri yake.
Nitashukuru kwa ufumbuzi juu ya hilo