DID YOU KNOW?
Madaktari wa uingerza walisema atakufa majuz ndani ya masaa 24 lakin hadi Leo yupo hai,,,,
Je wajua nini Allah alisema,, ?
'umauti ni siri pekee anayo ijua yeye kua Wapi na lini na saa ngapii utakufa na kwa sababu ipi'
Tumche mungu kwa kadri ya uwezo wetu Ipo siku tutakutana