twenty2 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 296 Reaction score 32 Jul 25, 2011 #1 Ni kweli kwasababu utakuta mtoto anakaa tabata na shule anasomea posta kwa umbali anaoutumia kwa kwenda shule na kurudi nyumbani anachoka anakosa ata mda wa kujisomea na ndio kinachosababisha kufeli kwa wanafunzi kwenye mitihani yao.
Ni kweli kwasababu utakuta mtoto anakaa tabata na shule anasomea posta kwa umbali anaoutumia kwa kwenda shule na kurudi nyumbani anachoka anakosa ata mda wa kujisomea na ndio kinachosababisha kufeli kwa wanafunzi kwenye mitihani yao.