Umbea Umemtoka Dk.slaa

Huyu hajatulia,anataka tulisha propaganda ya ccm wkt ukweli tunaujua.Kila mtu anajua kua Slaa ni shujaa wetu anaekera serikali kama ana jeshi zima.Anaiumiza vichwa serikali ya Kikwete na wewe ni mmojawapo wanaokerwa na Slaa lkn ukweli ni kua AMESAIDIA kwa kiasi kikubwa kufichua uozo huu.
 

Kweli akili ni nywele.... Waweza kuingizwa kimakosa kwenye kundi la wenye akili timamu kwa vile tu una nywele, vinginevyo..........!
 
Kwanini unaanzisha thread halafu unatokomea wakati unajua kuwa thread yako inaacha maswali mengi kwa wasomaji kwanini usisubiri kujibu maswali ya wanaboard kama unajua unachoandika?
 
Jamani huyo mwacheni, he sees not beyond his nose,

Huwezi lakini kuamini kuwa ni mtu mzima anazungumza, nafurahia best aliyesema hata akiwa nanihii hatumii nanihii.. ni kweli kabisa, kama huamini rudia kusoma thread yake.

Ni mbnumbumbu hasa.

Kazi ni kubwa basi.
 
huu umbumbu nimefikiria labda ni yule anayejiita sijui masaka sijui mashaka - ndo wana mawazo haya.
 

Pole!sana Antisadism Who Is A Sadist And Snifer Too
 
Antsadism,
Mdomo ni mali yako utumie upendavyo. Ila naomba nikupe taarifa tu kuwa pale Dodoma kuna Hospitali moja nzuri sana inaitwa Mirembe na jambo jema la pale ni kuwa wanafanya medical checkup bureee, Jaribu kutembelea pale utarudi hapa JF tofauti na ulivyo sasa mkuu wangu.
 
Inaonekana CCM imemkaa kichwani kiasi kwamba haelewi hata issue anayozungumzia, hao wenzako wa CCM wanatapata na kutafuta mchawi. Kam ilikuwa issue yao waliifikisha wapi, mbona hatukuisikia? Hii ni sawa na kuona simba anakuja kijijini kisha unakaa kimya baada ya watu kuliwa na simba unaibuka na kudai kuwa ulikuwa wa kwanza kumuona simba, je uliwasaidiaje wanakijiji?
 
Inasemekana ni MAKAMBA HUYU!
ANAENEZA PROPAGANDA.
OUT OF TOUCH...HAFAI.
 


Kumbe mzee Malecela ndicho anachofanya bungeni?! Kudadadeki!

Huyo Dr. Rafael Masunga Chengeni baada ya 'kuanzisha hoja' amefanya nini toka siku hiyo hadi sasa kuhusu "aliyoyaanzisha"?




.
 
Anaonesha Ufinyu na ufukara wa mawazo wa hali ya juu.....Amka wewe! Karne ya Ishirini na moja hii!
 
Namsubiri Antisadism arudi hapa kujibu hoja. Au kina Masaka wanaweza kumsaidia mwenzao?
 
Anti anaandika vizuri!!!! yaani kama angekua ana mraba(column) kwenye gazeti angepata wasomaji wengi sana!!! tehe tehe
 
Huyu ndio wale tulio wachagua watuelimishe wananchi kwa hiyo muacheni atuelimishe asante sana ndugu Fisad bin Umbea.Mwaka huu kuna jaa huko kijijini kwako ukiniomba mlo ntakujima .
 
Wacheni kuwa kama mapaparazi ,imeletwa hoja ya kupinga muamsho wa Slaa na kwa lugha ya kiuandishi naweza kusema ameipiga na chini malalamiko yaliotolewa na Slaa ,kama alivyosema kwamba bado msimamo wao haujabadirika ,sasa kama haujabadirika inakuweza kuwa kweli upo na sauti ya Slaa imepita kama stesheni za shortwave 2 ,unapotafuta stesheni ya BBC unaweza kukumbana na stesheni chingi za kiswahili na ukazani ndizo kumbe siyo yenyewe na ukaendelea kukorokocha ukichukulia hata betrii zenyewe hazina nguvu ,hivyo kinachohitajika ni kukuzwa kwa hoja kipengee kwa kipengee ,haiwezekani Slaa aseme maneno mengi ndio yakubalike kwa kuwa tu amerapu na watu wamecheza ,hivyo bado kuna umuhimu wa maelezo kutoka hatua ya mwanzo hadi ya mwisho ili Mkulo kama ataamua au atatahitajiwa kutoa maelezo zaidi basi maelezo yatokane na hoja za akina Slaa zilizopangwa zikatulia maana hoja hujibiwa kwa hoja ,sasa Mkulo aonyeshe kwa ithibati kwamba Feza iliyochotwa sio ya Serikali aonyeshe na misingi itayothibitisha kwa upande wake ili kuwashawishi akina Slaa na wananchi kwa ujumla ,hayo ikiwa yatatendeka basi yatazidi kuifanya njia ya muongo kuwa fupi ikiwa anayoyasema hayana mshiko.
 

Wewe kama umeramba hela ya ufisadi si unyamaze tu. Mkullo naye kapotosha watu na matamshi yake na wewe unashangilia. Dr Slaa ana akili zakutosha anajua alichosema.
 

Kamulize mama yako vizuri baba (biologically) ni yupi
 
Ant

Nakupongeza na nakusikitikia pia.

Nakupongeza kwasababu unasukasuka watanzania ili kuona kama determination yao ni persistent. Man! they have endured a lot, walishadanganywa sana na wakachezewa tricks za hegemony mpaka wanakaribia kupevuka! Sasa hivi unachokifanya nikutingisha debe la mahindi ili lijisindilie zaidi, pole kwa muuzaji, mnunuzi amefaidi!

Nakusikitikia kwasababu unajidanganya na unawadanganya waliokutuma kuwa ati utafanikiwa kuhadaa watanzania. Nakusikitikia zaidi kwasababu hata huwezi jua wapi kwa kudanganya? yaani hata watu wanaojua kutumia mtgandao sio tu computer unadhani mtaendelea kuwabrain wash? Man! u must be insane! kwasababu unazidi kuamusha uelewa wa watu na kuwapandisha hasira! Jihadhali usije pigwa mawe, maana wenye Busara watakushit na kutotembelea maandiko yako, lakini wengine watahakikisha unalipia madhambi yako...

Time to review your deeds is now, my people are focused, sooner mtashangaa what is gona happen beyond your thick imaginations!

Alamsiki, endelea kulala!
 
ccm MPYA itawaiwakonga NYONYO wabongo wote na AFRIKA kwa ujumla...Especially wana AFRIKA WAZALENDO...Ni ccm FREE OF WANAMTANDAO!
PERIOD.
Zaidi ya hapo...THEN NYIE NDIO MNATAKA KUMWAGA DAMU NA ITAKUWA JUU YA VICHWA VYENU NYIE NA WATOTO WENU!
ccm YA WANAMTANDAO NA ILAANIWE KWA NGUVU ZOTE!
NI MAGAIDI!
Na siyo tu ni ya MAGAIDI..!Bali ya WAHAINI...Na siyo tu ni ya WAHAINI WA TANZANIA...BALI WA AFRIKA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…